Baby Kabaye na Hassani Ngoma tambueni Chato haina Ikulu ndogo, Ikulu ipo Geita Mjini

Baby Kabaye na Hassani Ngoma tambueni Chato haina Ikulu ndogo, Ikulu ipo Geita Mjini

yani mkuu umekaa ukaamua uifananishe Air force one na Chato upo serious kweli ? ila kwa kuwa hujui ngoja tukueleweshe
Air force one ni ndege rasmi ya Rais wa Marekani imenunuliwa kwa pesa ya Serikali ya Marekani kwa Ajili ya Rais kusafiri pamoja na kufanya kazi awapo safarini ndio maana hujawahi kumsikia Bush au Trump ametoka White house ameenda kufanya kazi ndani ya Air force One kwa sababu anatakiwa kufanya kazi humo endapo tu atakuwa Safarini
Kuhusu Magufuli Chadema na wananchi wengi wanaomtaka arudi ikulu hoja yao ni kwamba Rais hayupo kwenye Makazi Rasmi ya Rais bali yupo nyumbani kwake,usingesikia kelele kama angekuwa Ikulu ndogo ambayo ipo Geita kwa sababu yale ndio makazi yake rasmi ki serikali anapokuwa kwenye mkoa wa Geita,nchi nzima kuna Ikulu ndogo zipo kwa ajili ya Rais kukaa,anatakiwa akae ikulu ndogo iliyopo Geita sio Nyumbani kwake Chato,sasa watu wanasema alimuapishia Mwigulu kwenye hoteli yake je kesho Makonda akiapisha mkuu wa wilaya huko Koromije mtamlaumu ?
UPO SAHIHI NIMEKUPATA
je maamuzi ya kutumbua na kuapisha ni lazima arudi Ikulu?
hta Hotuna angerudi Ikulu lkn anafanya popote hata pale Ubungo Kimara/Mbezi, Kiyegeya Dumila alifanya maamuzi, ndio maana nikasema Trump anatumia Twitter hakuna wa kupinga
Hao CHADEMA achana nao tuangalie Mustakabali wetu km Taifa kwani hawakatazwi
pale Mtu anauguza Mama yake ambaye yupo Kitandani
huo mfano wa USA umeukataa wa airforce 1 lkn hata Obama wa democratic kamlaumu Trump kuhusu anavyokabili COVID imekaaje hiyo, hawakatazwi lkn sio kila uchao jicho Chato
 
UPO SAHIHI NIMEKUPATA
je maamuzi ya kutumbua na kuapisha ni lazima arudi Ikulu?
hta Hotuna angerudi Ikulu lkn anafanya popote hata pale Ubungo Kimara/Mbezi, Kiyegeya Dumila alifanya maamuzi, ndio maana nikasema Trump anatumia Twitter hakuna wa kupinga
Hao CHADEMA achana nao tuangalie Mustakabali wetu km Taifa kwani hawakatazwi
pale Mtu anauguza Mama yake ambaye yupo Kitandani
huo mfano wa USA umeukataa wa airforce 1 lkn hata Obama wa democratic kamlaumu Trump kuhusu anavyokabili COVID imekaaje hiyo, hawakatazwi lkn sio kila uchao jicho Chato
basi kama ana mgonjwa hiyo inaeleweka
 
basi kama ana mgonjwa hiyo inaeleweka
Hawaelewi wanataka wamuone sijui wampopoe mayai au mawe km kule Mbeya awamu ya 4
kuna kipindi 1964 Mkuu (RIP) aliongoza Nchi akiwa chini ya Handaki, wengine wanasema akiwa Kigamboni, waTanganyika wakamjua Kambona, lkn aliweza agiza Kikosi cha Kiingereza kuja pambana na KAR, Manowari iltumia spika tu kumaliza hiyo coup kule Lugalo
Maana yangu maamuzi ni popote hata Chato
 
Hawaelewi wanataka wamuone sijui wampopoe mayai au mawe km kule Mbeya awamu ya 4
kuna kipindi 1964 Mkuu (RIP) aliongoza Nchi akiwa chini ya Handaki, wengine wanasema akiwa Kigamboni, waTanganyika wakamjua Kambona, lkn aliweza agiza Kikosi cha Kiingereza kuja pambana na KAR, Manowari iltumia spika tu kumaliza hiyo coup kule Lugalo
Maana yangu maamuzi ni popote hata Chato
Mkuu naomba unifafanulie hiyo ya mbeya maana ndio siifahamu
 
Mkuu kila media inasera zake za utangazaji ili kuendesha biashara yao

Huwezi kufurahishwa na kila media, chagua inayokufurahisha uangalie

Ukitaka kuona Chadema inapambwa Angalia Chadema t.v.

Hoja cyo media kua na sera zake, hilo cyo tatzo

Hoja ni maadili na miiko ya uandishi wa habar ambao kwayo kila mwandishi anatakiwa awajibike


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani, tuelimishane kidogo Chato ni Makazi ya Rais, sio Ikulu ndogo Ikulu ndogo ipo hapa Geita mjini na Chato ni miongoni mwa Wilaya zilizopo mkoani Geita.

Ninachokijua mimi ni kuwa Rais wa Tanzania alitambua mapema yakuwa akiwa ndani ya Ikulu kubwa hizi kwa maana ya DSM na Dodoma miingiliano inakuwa mikubwa sana kuepuka ilo ndio maana aliamua kwenda kufanyia kazi Wilayani Chato Nyumbani kwake na si Ikulu ndogo Rais wa Tanzania hayupo ikulu yupo nyumbani kwake.

Ni muhimu ili lieleweke vyema, Rais hayupo Ikulu ndogo wala Ikulu kubwa yupo nyumbani kwake akiendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa.

Binafsi mimi sipingani na yeye kuwa kwake maana na yeye ni mtu ana roho, na hata angekuwa ndani ya hizo Ikulu bado yeye sio nesi kama ambavyo watu tunataka awe, yeye ni Rais angebakia hivi hivi tunavyo muona.

Angalizo, na ninachokipinga kama ni kweli kutokumuona akishirikiana na Marais wenzake katika vikao vya mikakati ya kujikinga na maradhi haya ilo mimi siungani naye kama anashindwa yeye kulingana na mazingira au miundo mbinu ya Chato haiko sawa angeteua wawakilishi

Ingawa siamini katika miundombinu maana nakumbuka hapo alipo mandenge yalisha wai kutua yametua.

KUHUSU NYINYI WATANZANGAZAJI KUITWA VIBARAKA!
KATIKA ili mimi sio Mtanzania niliyopo ng'ambo lazima tukubaliane kuwa mmekuwa mashabiki wa vitu vingi vya ovyo, kuliko enzi za yule bwana alie kula uteuzi na yule bwana sijui kama alishawai kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwani aliweza kuwahoji vizuri sana pasipo kujali nafasi zao na hata alipoteuliwa MH Rais katika uapisho alisema kabisa kuwa huyo bwana alikuwa akiwahoji wenzake maswali magumu sasa amempa nafasi ili nae akahojiwe kama alivyokuwa akiwakaanga wenzake.

Sasa hivi kweli Hassani Ngoma kweli wewe ni msomi mwandishi unashindwa kujua kuwa Chato sio ikulu na haina Ikulu pale?

Nyinyi kama wanahabari mntakiwa kwenda mbali zaidi na kujifahamisha na kuwajuza watazamaji ni shughuli gani ambazo Rais wa nchi anaweza kuzifanya akiwa kwake na zipi hawezi, je sheria za nchi yetu zinamruhusu yeye kufanyia kazi nyumbani kwake?

Je, kwanini Rais, hashiriki vikao na marais wenzake?

Je, kamati iliyoundwa kuchunguza Mahabara inatakiwa kufanya kazi muda gani? je wakati kamati inafanya uchunguzi na tunajuzwa mahabara iko moja je zanzibari inapimia wapi mbona wao wanatangaza? wanapimia WAPI?

Leo namwona Hassan Ngoma anatetea Mh Spika kwa mambo ya hovyo anayo yasema hivi ni nani hasiyejua kuwa huyo Spika anafanya mambo ya ovyo? kimsingi nilitegemea hapo kipindi kinawaoji wanasheria manguri, maspika waliopita na kuoji pande zote, hivi mnajua kuwa Mwanahabari nguli anaweza kuwa chanzo cha habari kwa nini hamtaki jukum ilo?sio mnajadiri hata vitu vinavyokinzana katika taifa.

Nianzie hapo.
Kama ambavyo nesi anatakiwa kuhudumia dharula zinapotokea saa 24 ndivyo Rais anavyotakiwa kuhudumia dharula za nchi zinapotokea saa 24, huo ndiyo ukweli.
 
zitto junior nimekuelewa na kipengele hicho nimekipitia sana ingawa Lugha ya Kisheria sikuiingia sana darasani ila kwa nijuavyo tafsiri yangu ni kuwa

Shughuli zozote zisizo za kisheria kihalaili hazitafanyika Ikulu, kwenye majengo yake au ardhi wakati akiwepo mwenyewe isipokuwa kwa idhini ya Katibu Mkuu au Katibu Myeka

(maana yake ni hii huwezi kuweka FIESTA km ya Tigo au mashindano ya ng'ombe au harusi zozote za mtu yeyote au shughuli yoyote bila idhini ya Katibu Mkuu au Misimamizi wa Ikulu)

. Service of process generally in State House and other official residence
(1) No legal process shall be served or executed within the State House, its lodges or grounds or, while he is resident therein, within other official residences of the President except by or under the directions of the Chief Secretary or a Permanent or Private Secretary to the President

Kwa hiyo bado Chato ni Ikulu km Katibu Mkuu atakuwepo na ameridhia na pesa zinatolewa kwa shughuli hizo
Hahahahah nimecheka hapo kwa fiesta mkuu!!
Hicho kifungu kipo chini ya sub heading hii
PART III: LEGAL PROCEEDINGS (ss 6-10

Ikimaanisha masuala ya kisheria yeyote yale dhidi ya Rais hayawezi kuwa enforced ndani ya IKULU au OFFICIAL RESIDENCE (Hizi zote zisomeke Geita mjini)

Sasa mpaka hapa unaona makazi binafsi ya Rais hayapo kwenye hiyo bracket ikimaanisha sio RASMI na ndio maana katibu mkuu hawezi husika nayo moja kwa moja.

Sasa ukisoma kifungu cha 10
.....President's household and the upkeep of the State House and other official residences of the President.

Hapa wametenganisha makazi ya Rais na Makazi rasmi/Ikulu.

Sasa utusaidie ni kwanini kwenye legal proceedings makazi binafsi hayatajwi ila Ikulu/Makazi rasmi ya Rais yanatajwa??

Rais anaweza fanya majukumu popote ndio hata kutumbua na kuteua ila kazi za ''kiofisi'' kma kupokea cjui hati za mabalozi n.k inatakiwa azifanye ofisini ambapo kisheria ni Ikulu/Makazi rasmi.

Sasa chato ni HOUSEHOLD tu ambako hta akiacha urais ataendelea kuishi ila OFFICIAL RESIDENCE ni za RAIS kma RAIS.

Je chato ni official residence?? Kma sio je hujaona hao waandishi uchwara wamepotosha umma?
 
Zitto bado nasema Lugha ya Sheria inanipiga chenga lkn hapa chini wamezungumzia kazi na amri anazotoa Rais, hawakuzungumzia mpaka aingie Ikulu ni popote na atatumia hata Subordinator
mfano alitoa Order akiwa
  • Daraja la Nyerere Kigamboni Mkurugenzi wa Jiji OUT (RIP) alichomewa na Kolomije
  • Daraja la Dumila TANROAD mkoa wa Morogoro wote OUT
  • Gereza la Ukonga Kangi Lugola na wenzake
PART II: PRESIDENTIAL FUNCTIONS AND AFFAIRS (ss 3-5)
2. Signification of orders

(1) Whereby or under any written law, other than the Constitution, any power, duty or function is conferred or imposed on, or is vested in the President, the exercise of such power or the performance of such duty or function by the President may, unless a contrary intention appears, be signified under the hand of a Minister, a Deputy Minister or a Permanent Secretary:
Provided that nothing in this section shall apply to the power of the President to make proclamations or shall restrict the manner in which the power of the President in relation to the executive functions of the Republic, other than any such function which is conferred by any written law, may be exercised through officers in the service of the Republic subordinate to him.
Kwa hiyo hapo hakuwa nyumbaini Chato bali ndani ya Nchi, au angekuwa juu angani ndani ya ndege ni amri halali (Kumbuka Obote na Idd Amini)
Mkuu mimi siongelei majukumu pekee naongelea issue ya makazi rasmi na ofisi rasmi. Huwezi ukapokea hati za mabalozi kwenye Bar alafu ukasema kwa muda huo ni Ikulu.

Na ndio maana hyo sheria ukisoma provision ya 9 na 10 imetoa maelekezo Ikulu ni wapi!! Imetofautishwa na makazi binafsi ya JPM.

Siko hapa kusema ni makosa kwa JPM ama yupo sahihi? Ila naunga mkono hoja kuwa hao wamepotosha Rais akiwa home au kwa mchepuko haihesabiki kama Ikulu bali yupo nje ya ofisi.
 
Mtoa mada nimekuelewa kwenye issue ya hao waandishi na napenda kuongezea katika upande mmoja hapa...

Kweli kila chombo cha habari kina upande unachovutia kwake na kufanya hivyo ni kinyume na tasnia ya habari inayokataza mwandishi kuegemea sehemu yoyote.

Ukiona vyombo vya habari vimepoteza muelekeo ujue ...
a) Mfumo wa nchi umekosa kusimamia sheria za nchi.
b) Hofu inatawala kwa wamiliki na kutoa muongozo.
c) Mwandishi anatafuta kutambulika.
d) Ukandamizaji unachochea ethics iachwe na mtu akumbuke mkate.
 
Jamani, tuelimishane kidogo Chato ni Makazi ya Rais, sio Ikulu ndogo Ikulu ndogo ipo hapa Geita mjini na Chato ni miongoni mwa Wilaya zilizopo mkoani Geita.

Ninachokijua mimi ni kuwa Rais wa Tanzania alitambua mapema yakuwa akiwa ndani ya Ikulu kubwa hizi kwa maana ya DSM na Dodoma miingiliano inakuwa mikubwa sana kuepuka ilo ndio maana aliamua kwenda kufanyia kazi Wilayani Chato Nyumbani kwake na si Ikulu ndogo Rais wa Tanzania hayupo ikulu yupo nyumbani kwake.

Ni muhimu ili lieleweke vyema, Rais hayupo Ikulu ndogo wala Ikulu kubwa yupo nyumbani kwake akiendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa.

Binafsi mimi sipingani na yeye kuwa kwake maana na yeye ni mtu ana roho, na hata angekuwa ndani ya hizo Ikulu bado yeye sio nesi kama ambavyo watu tunataka awe, yeye ni Rais angebakia hivi hivi tunavyo muona.

Angalizo, na ninachokipinga kama ni kweli kutokumuona akishirikiana na Marais wenzake katika vikao vya mikakati ya kujikinga na maradhi haya ilo mimi siungani naye kama anashindwa yeye kulingana na mazingira au miundo mbinu ya Chato haiko sawa angeteua wawakilishi

Ingawa siamini katika miundombinu maana nakumbuka hapo alipo mandenge yalisha wai kutua yametua.

KUHUSU NYINYI WATANZANGAZAJI KUITWA VIBARAKA!
KATIKA ili mimi sio Mtanzania niliyopo ng'ambo lazima tukubaliane kuwa mmekuwa mashabiki wa vitu vingi vya ovyo, kuliko enzi za yule bwana alie kula uteuzi na yule bwana sijui kama alishawai kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwani aliweza kuwahoji vizuri sana pasipo kujali nafasi zao na hata alipoteuliwa MH Rais katika uapisho alisema kabisa kuwa huyo bwana alikuwa akiwahoji wenzake maswali magumu sasa amempa nafasi ili nae akahojiwe kama alivyokuwa akiwakaanga wenzake.

Sasa hivi kweli Hassani Ngoma kweli wewe ni msomi mwandishi unashindwa kujua kuwa Chato sio ikulu na haina Ikulu pale?

Nyinyi kama wanahabari mntakiwa kwenda mbali zaidi na kujifahamisha na kuwajuza watazamaji ni shughuli gani ambazo Rais wa nchi anaweza kuzifanya akiwa kwake na zipi hawezi, je sheria za nchi yetu zinamruhusu yeye kufanyia kazi nyumbani kwake?

Je, kwanini Rais, hashiriki vikao na marais wenzake?

Je, kamati iliyoundwa kuchunguza Mahabara inatakiwa kufanya kazi muda gani? je wakati kamati inafanya uchunguzi na tunajuzwa mahabara iko moja je zanzibari inapimia wapi mbona wao wanatangaza? wanapimia WAPI?

Leo namwona Hassan Ngoma anatetea Mh Spika kwa mambo ya hovyo anayo yasema hivi ni nani hasiyejua kuwa huyo Spika anafanya mambo ya ovyo? kimsingi nilitegemea hapo kipindi kinawaoji wanasheria manguri, maspika waliopita na kuoji pande zote, hivi mnajua kuwa Mwanahabari nguli anaweza kuwa chanzo cha habari kwa nini hamtaki jukum ilo?sio mnajadiri hata vitu vinavyokinzana katika taifa.

Nianzie hapo.

Unataka kujua Siri za nchi. Kuna wakati eleza Shida yako Nini. Sio kuomba kujua vitu hata havikuhusu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kila media inasera zake za utangazaji ili kuendesha biashara yao

Huwezi kufurahishwa na kila media, chagua inayokufurahisha uangalie

Ukitaka kuona Chadema inapambwa Angalia Chadema t.v.
Wewe tena! Kama ni umalaya ungekuwa umevuka na kuingia hadhi ya ukahaba.
 
Back
Top Bottom