zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Marekani? Katiba yao inasemaje au zinafanana? Presidential matters act umeisoma? Inataka Rais afanyie majukumu yake at the lowest kwenye ikulu zilizopo kila mkoa sasa kwa hapo mkoa wa Geita hazipo chato mkuu!!Sioni kosa lao hao Watangazaaji na majina yao mmeyataja, lkn sisi tupo nyuma ya keybody tunatamba
Chato ni Ofisi ya Ikulu (kwa hiyo ni Ikulu) Rais Magufuli acheni afanyekazi zake zote hapo, hata iwe Lushoto, Dodoma Moshi au popote mradi ni ndani ya Tanzania.
Marekani wanafanyia shughuli za Rais ndani ya airforce One angani (anga la Kimataifa) sembuse maamuzi ya Trump kwenye Tweeter
Hassan Ngoma yupo sahihi Chato ipo Ikulu (kwani tafsiri ya Ikulu ni sehemu anayofanyia kazi maamuzi Mkuu wa Dola)
Air Force One | The White House
Mtoa mada hajapinga Rais kufanya kazi popote bali waandishi kusema Rais eti yupo Ikulu ya chato!! Huo ni upotoshaji
Ssi twaongozwa na sheria za TZ sio video za youtube