Baby Madaha anapika na kupakua nyumbani kwa Juma Nature Mbagala

Status
Not open for further replies.

Kutokana na maelezo hapo juu naona kama hakuna ndoa.......Mfikishie salamu hizo
 
Wanaume wa ukweli wamekuwa adimu miaka hii. Madaha kwa Juma Nature??? ila nimesahau kibajaji hakichagui abiria hadi wa 300 kinabeba.
 
baby analipa fadhila kwa kolabo aliyomshirikisha nature kibla! Hii ndo bongo bana! Ukitaka kula lazima uliwe ati!
 
Baby Madaha si ndo nilisikiaga kipindi kile amefumwa kwa Babu wa Loliondo akipata kikombe?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…