Imekaa kimbeya mno.. weka dondoo za huyo mh unahofia nini kama ni kweliWadada wawili wa mjini ambapo mmoja kazalishwa na mh mbunge na mwingine ndo current girlfriend wa mheshimiwa wako kwenye vita kali ya maneno mpaka mmoja kusema ataita press kuongelea kila kitu kuhusu uhusiano wake na bebi mupya wa mbunge na mbunge pia.
Cha ajabu zaidi ni kwamba mbunge huyo ana mke mzuri mlokole wala hajui matendo anayofanya mumewe mpaka kufikia kugombewa na warembo wadada wa mjini.
Ni ajabu na aibu wanawake wazuri kuanza kukaa kumgombania mume wa mtu tena kwenye mitandao huku mkijivika ulokole.
Watu kama hao hawachukui vibinti vidogi wanachukua wadada wakubwa wanaojiheshimu. Sio mwanamke unalala nae leo kesho insta yote inajua.Dada zetu mnaacha kufa ni kina mo dewji watoto walithi viwanda.. mnahangaika na wabunge ambao wanategemea mshahara na posho...
inabidi K lyn aaanzishe tution ya kudanga...
yaani GSM, Mafuruki, Mbwana Samatta, mnashindwa kuwatega... mnahangaika na mbungee kipato chenyewe magu anakichinja chinja
Wewe ni mwanamke wa usukumani?Wanawake wa DSM.
Zinatosha sana ukiongeza na mikopo,we unadhani galfrend kapewa mtaji wa duka na nani????Hela yenyewe ya ubunge sasa yakufanyia hayo
Baby mama bongo movie na miss Shinyanga wa zamani, girlfriend ana duka la nguo maeneo ya Mkwajuni. Bwana wao mbunge kutoka jimbo moja mkoani Singida.
Yaan huu ugomvi haujaishaga tu, kuna kipindi mh mbunge alikuwa anapost sana mke wake na caption za kusifia.Baby mama bongo movie na miss Shinyanga wa zamani, girlfriend ana duka la nguo maeneo ya Mkwajuni. Bwana wao mbunge kutoka jimbo moja mkoani Singida.
Wanapenda vya dezo na mteremko..Hivi kwanini wasichana wazuri huwa wanaishia kuzalishwa na kuachwa? Pole nicole always mchepuko utabaki mchepuko tu
View attachment 702544
Naona waonekana kwenye ubuyu mzito tu.Yaan huu ugomvi haujaishaga tu, kuna kipindi mh mbunge alikuwa anapost sana mke wake na caption za kusifia.
Yaan mama wee acha tu, mwenzio umeneja huku umenielemea hata sina hamu ndio maana naonekana kwa machale sana, nikishusha ntakuwa active tena.Naona waonekana kwenye ubuyu mzito tu.
Nakumiss tu
Hongera na pole maa.Yaan mama wee acha tu, mwenzio umeneja huku umenielemea hata sina hamu ndio maana naonekana kwa machale sana, nikishusha ntakuwa active tena.
Niko poa japo kero za hapa na pale zipo kibao, si unajua tena hii hali inakuwaga na kero zake.Hongera na pole maa.
Mzima lakini?
Alimpost baada ya kuwekwa sana kwenye page za watu kuwa anamcheat mke wake. Ndo kujifanya yuko sawa na mkewe akaanza post mapicha yao.Yaan huu ugomvi haujaishaga tu, kuna kipindi mh mbunge alikuwa anapost sana mke wake na caption za kusifia.