Baby Mama na Girlfriend Wanamgombea Mume wa Mtu

Kwenye avatar ni wewe?
 
hivi watu kama hawa ndo tunawapa dhamana ya jimbo
teh kwa kweli hata sisi wa TZ tujichunguze wakati wa kutafuta watu wa kutuwakilisha
Wapiga kura wanakuaga hawajui ushenzi wa wabunge wao ndo tatizo.
 
Unaona wivu!!!!
Hapana. Wivu kwa mwanaume ambae nikimtaka kesho tu nampata maana i swala la kujua alipo. Ningemtaka ningemkula kabla hajakutana na hao wengine wote basi tu kipindi kile alikua kachoka sana (natania hata angekua na hela nisingemla bado)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…