KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
zamani unayoizungumzia ni ipiIlikuwa zamani ila sasa hakuna jipya. Kila mtu kwa sasa yupo busy na kupambana na maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zamani unayoizungumzia ni ipiIlikuwa zamani ila sasa hakuna jipya. Kila mtu kwa sasa yupo busy na kupambana na maisha.
Na ashiki kwishneiAnafuraha anapata mtoto muache
Mimi sina mambo ya team. Diamond he is very hard working. Na ni mtafutaji hasa ila kwenye mahusiano ni bora usiyashabikie. Maana tumeshaona kwa waliopita.we ni mmoja wao mbona kama povu hHAHAHA
Hivi serikali hii kitu inakubaliana nayo??
km malaya jeAlafu Cha ajabu boyfriend wake kamwachia avae hivyo hiv sisi wanaume tunakwama wapi?hiv kweli unaweza kutembea na girlfriend wako kavaa hiv na wewe unachukulia poa?
kwa akili yangu fupi tu naona ni wenye 18+Wangekuwa wanaweka na umri ungea angalia wenye umri gani wameangalia hzo mambo
Sina jukwaa lolote nalofuatilia mambo Zaid ya jf ninaweza pata kitu Cha kuingiza na si upumbavu huo wa udaku Ni ucheki
Ukiangalia watu waliokuwa wanaaangalia Ni watu ambao hawana Cha kupoteza wanaenda Kama walivyo [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
kwan we n nn kilichokuingiza kwenye hii thread kama sio mpenda udaku...?Yaani wewe ukipita page zenu za udaku hizo una conclude Watanzania wanapenda udaku? unajua Tanzania ina watu wangapi? Au unadhani Dar es Salaam ndio Tanzania? Muache ujinga wa kugeneralize mambo.
Haya kama hujui Tanzania ina watu kama 48m hivi, Dar Es Salaam ina watu kama 6m hivi, haya tuchukulie ambalo ni jambo haliwezekani asilani, kuwa watu wote wa Dar Es Salaam walifuatilia huo udaku wako, je unadhani bado unaweza kufikia tamati kuwa watanzania wote wanapenda udaku?
Tumieni akili, waliofuatilia hawafiki hata 600k wewe unasema Watanzania. Tutumie akili kidogo jamani.
HahahAaa waliobize wapo kwenye kurasa za Biashara kilimo na ufugaji sasa we upo bize kwenye kurasa za udaku daaah kweli bongo nyosoUko busy huk unapambana kujaza server kwenye uzi unaomhusu yeye?huo ubongo umejaa kamasi?
Alafu Cha ajabu boyfriend wake kamwachia avae hivyo hiv sisi wanaume tunakwama wapi?hiv kweli unaweza kutembea na girlfriend wako kavaa hiv na wewe unachukulia poa?