Baby shower ya Diamond na Tanasha

Baby shower ya Diamond na Tanasha

Wangekuwa wanaweka na umri ungea angalia wenye umri gani wameangalia hzo mambo
Sina jukwaa lolote nalofuatilia mambo Zaid ya jf ninaweza pata kitu Cha kuingiza na si upumbavu huo wa udaku Ni ucheki
Ukiangalia watu waliokuwa wanaaangalia Ni watu ambao hawana Cha kupoteza wanaenda Kama walivyo [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
kwa akili yangu fupi tu naona ni wenye 18+
 
Yaani wewe ukipita page zenu za udaku hizo una conclude Watanzania wanapenda udaku? unajua Tanzania ina watu wangapi? Au unadhani Dar es Salaam ndio Tanzania? Muache ujinga wa kugeneralize mambo.
Haya kama hujui Tanzania ina watu kama 48m hivi, Dar Es Salaam ina watu kama 6m hivi, haya tuchukulie ambalo ni jambo haliwezekani asilani, kuwa watu wote wa Dar Es Salaam walifuatilia huo udaku wako, je unadhani bado unaweza kufikia tamati kuwa watanzania wote wanapenda udaku?
Tumieni akili, waliofuatilia hawafiki hata 600k wewe unasema Watanzania. Tutumie akili kidogo jamani.
kwan we n nn kilichokuingiza kwenye hii thread kama sio mpenda udaku...?
 
Back
Top Bottom