Baby Shower ya Shamim Zeze aka Mrs Chonchi

Status
Not open for further replies.
Hzo gari za kukodi ndo kuringishia?
Duuu bongo ASA HV vogue wanakodisha so ukipigia picha nn utatuletea humu?sikujua kama Lara moko limbukeni kiasi hiki

Mi pia nimeshangaa sana leo mpnz. yani nimesikitika sana. ila kiboko yake aliweka kambi hapa mamaa ya town akapotea ghafla
 
NACHOAMINI IS NOT IMPORTANT! Imani ni kujipa moyo tu, HATA NINGEAMINI KAZALIA CHINI YA MTI WILL IT CHANGE ANYTHING?

Sijui kwann wabongo tunakua malimbukeni kiasi hiki
We kwako umeona Sinai ni exclusive sana?
What about john Hopkins may b ?
U guys huyu manger kawapa nn?
Limbukeni sana aisee
 
Aaaaa wapiii alisema atafanyaaa hahhha alikosa wa kuwaalikaa ninii halaf team zake zote hoiii haziweki paa kwendaa

Alishasema HATAKINUHUSIANO NA WABONGO USHUZI USA WALA DUBAI,! Yeye akiwq nje ya nchi anasocialise na watu wa mataifa mengine kujifunza culture zao! Wabongo njaaa afu majungu majungu mengi sanaaa!

AKAPIGA STOP WATU KUMPIGIA SIMU WAKAMTEMBELEEE,! Wabongo US mumuone kwenye blog tu baaaaaaas! Mambo ya kwenda kwake kujambia kocji zake hataki! LOLEST

Na Dubai alikuwa anajitenga na wabongo! Period! Inakuwa baby shower yetu ya mtaa wa 7 kumsurprise mtu na kumuaibisha juu! CHA BURE GHALI BORA UKOPE,!
 
Juzi insta kistroller kimerushwa na MTOTO NDANI sijui aliazima tena kwa shosti yake? Cha kuazima hakisitiri makalio?!

Do u think u can't buy kistroller au sababu ni mange kachange na stroller details kuanzia sn-number to specification basi unaona big deal?ushamba kweli janga la kitaifa
 
Sijui kwann wabongo tunakua malimbukeni kiasi hiki
We kwako umeona Sinai ni exclusive sana?
What about john Hopkins may b ?
U guys huyu manger kawapa nn?

MKEO KAZALIA IPI HAPO.? Kiroho safi tu wewe usie limbukeni
 
Do u think u can't buy kistroller au sababu ni mange kachange na stroller details kuanzia sn-number to specification basi unaona big deal?ushamba kweli janga la kitaifa
Hahaaaaaaaa! Nimekipenda nafsi yangu imekikubali, KWANI DHAMBI.?
 
Hajafanya baby shower kwani siri.? Hafanyagi kuanzia Bhoke! Labda ya Itika kama wamjua ndo baby shower ilistua stua Us kidogo.

Imshtue nani us?
Hakuna malimbukeni kama. Nyie
 
Eee tena za vitenge na zingine ambazo ashazivaaa,ndio wanapewaa

Sa wanawaponda nn hao wanaowaita madrug lord wakat wanaumiza kivhwa na nguvu kutafuta mahela wakat wao wanasubiria wahongwe kama mimba vile
 
lara 1 mtata sana kakamata file za watu wote hapa town, but she is somehow wrong
 
Last edited by a moderator:

ilo life litamcost kiukwel abadilike kiroho safi kwan kufahamiana na watu wakajua unapokaa shda au ndo show off ili uonekane matawi ya juu watabaki kumponda shamimu kajitahd atleast kuna watu wanaomjal
 
Tunaendelea na maisha ya Mange katika picha! Nakuja!
 
Jamani eeeeehhhh swala la Mange lifungwe duuuuuuuuuu hamchokiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
 
Mi pia nimeshangaa sana leo mpnz. yani nimesikitika sana. ila kiboko yake aliweka kambi hapa mamaa ya town akapotea ghafla

Kiboko yake ni nani tena laazizi?
Besides nimemshangaa sana Lara moko sijategemea kama kichwani ni cheap.kiasi hiki
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…