Na kusingekuwa na umuhimu wakuweka hii forum humu kama yeye anawadiscuss wenzake huko kwenye blog yake si tuna mdiscuss humu.. Kama yeye hana muda kwa kuingia humu na sisi hatuna muda wa kuingia kwenye blog yake atleast ingekuwa website asingeandika upuuzi wake angeitumia kibiashara ila kwa vile blog bure aandike na kudiscuss wenzake huko na sisi tunaandika na kumdiscuss huku... Hatulipii na wala hatulipiwi bundle same kwake anaandika anachojiskia na sisi twadiscuss tunavyojiskia..
Kama kumdiscuss yeye ndo kigezo kuwa tuna wivu nae basi nayeye anavyo wasema akina sinta anawivu nao. Thats all