"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Bado hujasemaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba kumpeleka mkwe wako hospital si kazi, bali jambo linalofanywa ukiwa na mda!. Ok, isipokuwa na muda nani akufanyie? au kwako wanaumwa unapokuwa na muda? Kwamba kumpeleka Mgonjwa hospitali ni unaweza kufanya ukitaka au ukaacha si ndiyo...mpaka hapo umeonesha ulivyo amateur kwenye issue za familia. Huna familia unayo iendesha wewe.
 
Mkuu hichi ulicho andika hapa kinahakisi madai ya Marehemu Mh Samweli Sita Waziri wa East Africa alipokua anajibu kwanini wawekezaji wakigeni wengi kwenye sekta ya utalii Tz na sekta zingine wameajiri Wakenya na Waganda zaidi na hawapendi kuajiri Watz

Na huu mfumo wetu wa kulipwa mshahara kwa mwezi hata kama umekwenda kazini siku mbili tu ndio unatujengea hizi tabia kwa watumishi

Siku hizi kuna ofisi unalipwa kulingana na masaa/siku uliofanya...........sasa wewe kamuuguze mkweo mwezi mzima mnakimbizana korido za hospitali ndio utajua kama kumpeleka mkweo ni career au spending

Mkuu kamuuguza mtu kwanza kabisa kunataka Hela
Ukikomaa vizuri na Career yako ukawa na hela haya mambo ya kumpeleka mgonjwa hoapitali ni mambo madogo mmno
 
sasa mwili wako unataka akuoambanie mwingine? kah! yaani hata vaa yako unataka akichangia mbona hiyo hatari sana, mbona kuna wengine wanaliwa kwa kusifiwa tu inatosha, tunajua mnapenda kusifiwa hivyo tunajitahidi tuwape sifa iwezekanavyo
 
Tunaishi kwa kutegemeana
Ni kweli tunaishi kwa kutegemeana , sasa wewe ungependa mwanaume akugharamie kama unavosema hayo mavazi je wewe utamgharamia nn???? kwa muktadha wa kutegemeana ulousema
 
Ndio unampeleka nyumbani kwenu ,sampuli hii eti umepata mwenzi wa maisha.Takataka.
 
Usikwepe majukumu yako kwa visingizio
Mmmh aiseee.....naomba nijue hayo majukumu ni kwamba ukiwa mke au demu tu wa kupoozea siku moja moja afu baada ya hapo kila mtu anajikataa afu unaenda kwa wana wengine nao wapoozee
 
Ku manage familia ni Kazi kama Kazi zingine. Period
 
Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…