"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Mkuu this is Africa hata sheria tu za kumlinda “mama wa nyumbani” kwenye divorce ni kichefuchefu
Imagine binti yako injinia anakataa ajira au kujiajiri kwa taaluma yake ili ameneji familia yake kwa kuwa mama wa nyumbani halafu mumewe anakuja kum divorce na miaka 45

Narudia tena wajengee mabinti zako mentality za kuja kuwa maRais kama Samia madaktari au mainjinia au kuja kuwa wajasiliamali wakubwa .... nasio kuwaaminisha kuwa “mama wa nyumbani” ni kazi kama kazi zingine

Wazazi wangu wote walikua wanafanya kazi, mimi na mwenzangu tunafanya kazi i do hope my next generation to come will do the same
Sikusema kuwa mwanamke asipewe elimu na kuolewa akiwa na elimu si guarantee ya mahusiano kudumu
Point yangu ya msingi ni kuwa si sahihi kusema mama wa nyumbani hana Kazi, ni anayo Kazi tena kubwa sana( tena hizi extended families ) mama anaisimamia familia bado anapewa majina ya kejeli kama "goal keeper, sijuwi beki 3,..........
Mbaya zaidi jamii umefanikiwa kuwa brain wash hata wahanga wanaamini kuwa kumanage familia siyo kazi. Akiulizwa anasema "mimi sina Kazi!" Come on, wakati huo anaisimamia familia ya watu nane wakiwemo watoto wadogo, huku akimsubiria Shemeji yake Mgonjwa atakaye fika hapo nyumbani keshokutwa baada ya kupewa rufaa kutoka huko Kijijini kwao mme wake.
 
Wewe unakuta umechangia kiasi gani katika hustle za kuipata iyo hela.
Yaani kusifiwa tu unataka mtu akulipe kwa value gani uliyo nayo ama uliyoongeza kwenye maisha.

Pia inaonekana unapenda kudanga Mana umeongea kuwa mtu akikusifia tu unajua kuwa huyu kajaa tayari unamuomba hela. Mwanamke kuomba hela ni alarm mbaya sana kisaikolojia
 
Wewe unakuta umechangia kiasi gani katika hustle za kuipata iyo hela.
Yaani kusifiwa tu unataka mtu akulipe kwa value gani uliyo nayo ama uliyoongeza kwenye maisha.

Pia inaonekana unapenda kudanga Mana umeongea kuwa mtu akikusifia tu unajua kuwa huyu kajaa tayari unamuomba hela. Mwanamke kuomba hela ni alarm mbaya sana kisaikolojia
Mkuu uko sahihi sana
 
Uzuri mmoja wanawake ambao naingiaga nao kwenye mifumo ya mapenzi wengi huwa wana vyanzo vya pesa pia hivyo sio malofa by 100%! Hio ni standard nimejiwekea ili kuepusha manung'uniko hayo unayosemea.

Tunakutana sababu ya kufurahishana tu sio kubebeshana mizigo sababu kila mmoja wetu yuko independent na maisha yake. Mi niko real huwa sinaga kujivunga ntalipa bills ntapoishia mwenzangu ataendelea and its like that.

Ule ujinga wa kujifanya mimi Mungu muweza wa yote sinaga and i like it like that. Atakaeona mambo magumu basi ajiengue tu.
Hii system inasaidia hata mkija kuachana maumivu yanakuwa madogo tofauti na yule aligharamia sana
 
Hivi mbona kwenye masuala ya kupewa ngono, heshima pamoja na kufanyiwa baadhi ya majukumu humo kwenye mageto yenu huwa hamsubiri hadi muoe, huwa mnataka wapenzi wenu watimize majukumu yote ya mke ila ninyi hamtaki kutumiza majukumu ya mume eti hadi muwaoe
Anae hitaji sana ndoa ni nani kati ya me na ke?
 
Anae hitaji sana ndoa ni nani kati ya me na ke?
Lakini cha ajabu pamoja na malalamiko yote ya wanaume kuhusu tabia mbovu za wanawake ila bado ndoa zinafungwa kila siku, na kwa tamaduni zetu anayeamua kuoa au kutokuoa ni mwanaume lakini bado wanaoa na wataendelea kuoa hadi mwisho wa dahari, kwahiyo kauli za kizamani kama hizo kwa dunia ya leo zimebaki kuwa nadharia tu ila tukiacha porojo tukiangalia hali halisi kwenye ground basi tutajua ni jinsia gani inahitaji zaidi ndoa kuliko nyingine
 
Lakini cha ajabu pamoja na malalamiko yote ya wanaume kuhusu tabia mbovu za wanawake ila bado ndoa zinafungwa kila siku, na kwa tamaduni zetu anayeamua kuoa au kutokuoa ni mwanaume lakini bado wanaoa na wataendelea kuoa hadi mwisho wa dahari, kwahiyo kauli za kizamani kama hizo kwa dunia ya leo zimebaki kuwa nadharia tu ila tukiacha porojo tukiangalia hali halisi kwenye ground basi tutajua ni jinsia gani inahitaji zaidi ndoa kuliko nyingine
Anae hitaji sana ni jinsia ya kike so yeye ndio anahitajika kufanya extra things ili amshawishi mwanaume amuoe
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru

UPENDEZESHWE WE MAUA? ANYWAY MI SISIFII. MSIPENDE SANA KUFANYWA MAMBO MENGI MENGI.
 
Hii system inasaidia hata mkija kuachana maumivu yanakuwa madogo tofauti na yule aligharamia sana
Huwaga siumiagi wala sina chuki wote nilioachana nao nawapigia simu mda wowote na hata nikihitaji au wakihitaji msaada niko tayari anytime.
 
Anae hitaji sana ni jinsia ya kike so yeye ndio anahitajika kufanya extra things ili amshawishi mwanaume amuoe
Hebu tuende kwenye uhalisia acha kutengeneza majibu yako kichwani hawa wanawake wa leo mbona hakuna extra things wanazofanya ila bado wanaolewa, na haya si maneno yangu bali maneno yenu wenyewe wanaume kuwa wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya kweli na hawana cha kuoffer zaidi ya sex, ila cha ajabu bado mnawaoa kila siku wakati mna uwezo wa kuachana nao na kufanya mambo mengine so kiuhalisia hapo nani anahitaji zaidi ndoa
 
Hebu tuende kwenye uhalisia acha kutengeneza majibu yako kichwani hawa wanawake wa leo mbona hakuna extra things wanazofanya ila bado wanaolewa, na haya si maneno yangu bali maneno yenu wenyewe wanaume kuwa wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya kweli na hawana cha kuoffer zaidi ya sex, ila cha ajabu bado mnawaoa kila siku wakati mna uwezo wa kuachana nao na kufanya mambo mengine so kiuhalisia hapo nani anahitaji zaidi ndoa
Sio wanawake wote hawafai
 
Sikusema kuwa mwanamke asipewe elimu na kuolewa akiwa na elimu si guarantee ya mahusiano kudumu
Point yangu ya msingi ni kuwa si sahihi kusema mama wa nyumbani hana Kazi, ni anayo Kazi tena kubwa sana( tena hizi extended families ) mama anaisimamia familia bado anapewa majina ya kejeli kama "goal keeper, sijuwi beki 3,..........
Mbaya zaidi jamii umefanikiwa kuwa brain wash hata wahanga wanaamini kuwa kumanage familia siyo kazi. Akiulizwa anasema "mimi sina Kazi!" Come on, wakati huo anaisimamia familia ya watu nane wakiwemo watoto wadogo, huku akimsubiria Shemeji yake Mgonjwa atakaye fika hapo nyumbani keshokutwa baada ya kupewa rufaa kutoka huko Kijijini kwao mme wake.
This is happening only if she don’t have a real job to do.... au unadhani hayo hayatokei kwa mume na mke wanaofanya kazi wote?
Mkuu hata wewe mwanaume ukiwa huna kazi na mkeo anakazi nakuhakikishia utakua unampeleka baba yake hospitali na watoto shule wakati yeye anawahi kazini na utafanya mambo yote ya nyumba unayoyaita kumanage family...... sidhani kama unaweza kusema una kazi

Sipingi kuoa mwanamke ambaye hana kazi lakini pia siwezi kujidanganya kwamba mke kukaa nyumbani na kufanya kazi za nyumbani ambazo hazina kipato ni sawa na kuwa mfanyakazi.... sh 1 sio sawa sh 2

Sipati picha my wife angekuwa hana kazi.... aiseee
 
Sio wanawake wote hawafai
Sasa hao mnaowaoa wangekuwa wanafaa basi kusingekuwa na malalamiko kwenye ndoa kutoka kwa wanaume yani ndoa zote zingekuwa nzuri, halafu hao wanaoolewa baadhi tunawafahamu tabia zao wengine ni makahaba wastaafu ila wanaolewa vizuri tu, wewe angalia tu siku hizi wanaoongoza kulalamika vijiweni na mitandaoni kuhusu ndoa ni jinsia gani then utapata majibu
 
This is happening only if she don’t have a real job to do.... au unadhani hayo hayatokei kwa mume na mke wanaofanya kazi wote?
Mkuu hata wewe mwanaume ukiwa huna kazi na mkeo anakazi nakuhakikishia utakua unampeleka baba yake hospitali na watoto shule wakati yeye anawahi kazini na utafanya mambo yote ya nyumba unayoyaita kumanage family...... sidhani kama unaweza kusema una kazi

Sipingi kuoa mwanamke ambaye hana kazi lakini pia siwezi kujidanganya kwamba mke kukaa nyumbani na kufanya kazi za nyumbani ambazo hazina kipato ni sawa na kuwa mfanyakazi.... sh 1 sio sawa sh 2

Sipati picha my wife angekuwa hana kazi.... aiseee
What comes to your mind ukisikia neno "Kazi"
Kumpeleka mkwe wangu hospital hiyo ni Kazi.
Kwamba hupati picha kama ingekuwa na mke asiyefanya Kazi?, Kwamba anafanyiwa kila kitu isipokuwa kula na kulala tu, si ndiyo?.
 
Kama Ni mke wangu Sina budi kumpendezesha, ila Kama Ni demu tu hapana walahi
 
What comes to your mind ukisikia neno "Kazi"
Kumpeleka mkwe wangu hospital hiyo ni Kazi.
Kwamba hupati picha kama ingekuwa na mke asiyefanya Kazi?, Kwamba anafanyiwa kila kitu isipokuwa kula na kulala tu, si ndiyo?.
Kazi ni shughuli ya kudumu uliyoamua kuifanya kuendesha maisha yako...... wazungu wanaita CAREER

Kumpeleke mkwe wako hospitali sio kazi(career) ni jambo unalofanya ukiwa na nafasi tu

Sipati picha jinsi ambavyo ningekuwa na kibarua kuhudumia familia plus extended family all alone kama wife angekuwa na “career” ya ku manage family
Mke wangu anakipato kikubwa kazi kwake kuliko mimi
 
Back
Top Bottom