The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Malaya ni malaya tuu, well ukiwa na mwanaume na anajua hali yako, na anakupenda atakupimia kadiri ya uhitaji wako, huku malengo mengine ya maisha yakiendelea, ila ukitaka upewe hela ndio usifiwe utaishia kuliwa kiboga kwa 7800
Hii ndio sababu wanawake wengi wanajiuza bila kujua wanauza K, huyu akimuahidi kikoba anakula, huyu gauni, huyu kodi, huyu pizza utasema kwao hali chakula
Hii ndio sababu wanawake wengi wanajiuza bila kujua wanauza K, huyu akimuahidi kikoba anakula, huyu gauni, huyu kodi, huyu pizza utasema kwao hali chakula