Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka ujue matokeo kabla ya kufanya mtihani? Unatakiwa kwanza uishi ndipo ujue uwezo wa mwanaume sio akuonyeshe sasa atakuonyesha hadi lini yaani kila siku awe anakununulia tu vitu ili wewe ndio ujiskie umekamilika? [emoji848]Ndo tunapima kama utaajibika kunitunza utakaponioa au utanioa niende kuzeeka mapema ,Kama uchumbani uliajibika ipasavyo huko mbeleni ni raha,Kama uchumbani uliniita ombaomba huko mbeleni ni majanga
Huna akili kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] takatakaKumzalia
Unajimilikisha malaya, we unatoa hela ya service, wahuni wanakula for free.Hapo ndo tunapo tofautiana, wewe unaona mzigo ila mm sioni mzigo kwasababu nimeamua kijimilikisha.
Hata mm mpenzi wangu anafanya kazi ila hela zake ni za kwake, mimi sitaki hata kuziona.
😂Kasema anajichangaKwahiyo hiyo offer tuliyompa, huenda kesho tu akatuma Wazee kuleta Posa yako 🤗😜
Sijichangi chochote, nakuchukua ijumaa hii. Mahari nitalipa mbele ya safari😂Kasema anajichanga
Nakuiba, then watanitafuta wao 😎Sasa hapo utakua umenichukua au umeniiba?🤸
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Bole sana bafua bamekuanza lini 🤧Achedi mabo yedu ninyi mabem.Unaweda kupedeza kwa peda yako mwenyewe
Mwambie asichelewe sana, Kijana wa Mzee Mbigili ameleta pia Posa yake ijadiliwe😂Kasema anajichanga
Na wewe ukiombwa kupigwa miti kwa hapo kati hua unatoa jibu gani hio mboni hujazungumzia?Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Tangu lini Mke akachukuliwa Kwa malikauliSijichangi chochote, nakuchukua ijumaa hii. Mahari nitalipa mbele ya safari
Akili mbovu na hii mentality wanayo wote sio baadhi kwenye 100% ni 99.9 Ila 0.1 ndio wenye afadhari na hao 0.1 hawapo kabisaVijana pigeni sana sala, hawa ndo wanawake mnqoenda kuoq, na hizi ndo akili zao.
Kwani nikikusifia napata nini atiii???? Gharama zangu kwako ziandane na ninachokipata!Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Hivi kuweka makucha, kutoboa pua, kutoboa sikio zaidi ya mara moja ni kuutunza mwili na mnajiona mmependeza?Mbona unautaka na huutunzi?
House chores linabaki kuwa jukumu la mke, solely for her, hapo hakuna mjadala🤣Good hii dunia ya leo kila jinsia inatakiwa kufundishwa kujitegemea, hata wanaume wanatakiwa kufundishwa kujitegemea kwenye vitu vidogo vidogo kama house chores, wanawake kuwa tegemezi kulitokana na mgawanyo wa majukumu uliowekwa na wazee wetu kwahiyo wote wabadilike
Binti kanipenda mwenyewe, kasema nisiwaze sana kuhusu posa mahariTangu lini Mke akachukuliwa Kwa malikauli
Si unajua vile huyu Mjukuu tulivyomlea pamoja na kumpeleka Shule za Ulaya na Marekani 🤗
Mnataka kutuchezea mchezo nyie 😜Binti kanipenda mwenyewe, kasema nisiwaze sana kuhusu posa mahari