"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Kila mtu lazima awe responsible na furaha yake kwanza usisubir mtu mwengne akufurahishe ndo ufurai
Kuna wanawake wanajitahidi sana kutowabebesha wanaume mabili ya kipuuzi siku hizi. Ni ajabu sana kuona bado kuna mabinti anakaa chini na kuandika uzi wa lawama kulaumu watoto wa watu kwa umasikini aliorithishwa na wazazi wake.

Wewe laumu wazazi wako kwa kushindwa kukupa mahitaji yako, kama itakuuma kuwalaumu wazazi wako then umeshaelewa kuwa ni kukosa akili sasa kulaumu mtoto wa mwenzako kwa uzembe wa wazazi wako.
 
Kwani mrembo iwapo your Man has paid 50% na you paid the remaining 50% Kuna tatizo akikusifia.

Wakati mwingine shukuruni hata Kwa hiko kidogo ambacho mnapewa, mkikutana na Timu ya "Kuna hela naisikilizia" hupewi hata mia mbovu [emoji12][emoji119]

Kuweni na Moyo wa shukrani Kwa Wanaume wanaojitoa kwaajili yenu
Kwanza inatakiwa 50% iliyobakia atoe baba yake. Mtu ambaye sio mzazi wako akikuweka kwenye bajeti zake unatakiwa kumheshimu sana.
 
Mwanamke ni ua muda wote linahitaji maji ili lizidi kuchanua
Then subiria mvua inyeshe mbona mauwa pori yanaishi kwa mvua na hayamwagiliwi wala nini ila yanachanua vizuri kabisa.
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Mbna lawama nyingi si umuache huyo jamaa
 
NGOMA DROO ,ULIENDA KUMTAMBIAshia wamekupendezesha nayeye kajibu

Weka iliwe
 
Mwanaume: Muombe Mungu asikupatie mke wa type hii maana ni mzigo bora uwe singo,Kwa hii akili aloo maendeleo utasikia kwa wengine.
 
Ndio kwahiyo kama mwanaume hatimizi majukumu kwa mwanamke wake basi asitegemee na mwanamke naye atimize majukumu kwake haijalishi majukumu gani

Sasa ndio asikwambie umependeza because ela ya salun ajakupa yeye?
 
Usikwepe majukumu yako kwa visingizio
Jukumu na huruma ni vitu viwili tofauti unavichanganya. Hapo unatafuta huruma ya lazima halafu unahisi ni jukumu la mtu wakati sio jukumu lake.
 
Ko huwa mnataka nini kwetu sisi kupiga na kuondoka au
Tunataka mtulize vichwa vyenu na kusikiliza namna tunapanga mikakati ya kutukwamua katika ugumu huu wa maisha.

Kazi yenu ni kusikiliza na kufuata utaratibu wa majukumu tutakayopangiana. Inaweza kuwa ni kusaidia kusimamia biashara, au kutunza pesa, au kumsimamia mfanyakazi. Yaani kutumia ubongo wako kusaidia mambo yasimame.

Ukiweza kufanya hivyo hapo una haki ya kuomba chochote usaidiwe na usifanye tu bora liende jitoe kweli kweli ukijua ile biashara na wewe inakuhusu pia kama mwanafamilia.
 
Mwanaume anayemsifia mpenzi wake wa kike kuwa kapendeza tayari katoa asilimia 50 kwenye upendezeshaji wa huyo mwanamke.
Kama unasifiwa unayo bahati,wengine wajipendezesha na wanaliwa bure bila kusifiwa.
 
Wajibu wako kwangu ni nini sex tu basi kwa sababu najilisha na kujipendezesha,msipende mitelemko
Sasa sex unaona ni kitu muhimu cha kushindanisha na hela? Pesa zinaenda zikiongezeka mwili unaenda ukizeeka. Wewe ukizeeka utatoa nini sasa kwa wanaume ili upewe hayo mahitaji unayoforce kupewa as if baba yako aliacha mirathi yake kwa wanaume?
 
Wanawake mmelua washamba tu siku hizi, nyenyenyenyenye
 
Kama kupendeza kwangu kutakuwa ni ombaomba,kazi yako kwangu ni sex: umarioo huo,kweli wanaume walikuwa enzi za mababu zetu walahi!!!! Ko wewe unataka sex tu,kisa ukiomba kitu fulani utaitwa ombaomba na mwanaume!!!!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umarioo ni kutegemea pesa na mali za mwanamke kuishi na sio kulala na mwanamke.

Kama unataka tuwe kama mababu zetu then na wewe uwe kama mabibi zetu achana na upuuzi wa kupendeza piga kazi chakarika ukushirikiana na mwanaume wako. Ebo.
 
Back
Top Bottom