"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Umalaya tu
Unae pendeza ni wewe usumbue wanaume
Mwili ni wako.
 
Mwanamke uzaliwe mrembo,we kama ni sura ya baba jipambanie,mie nachotaka utelezi,urembo utajua ww
 
Yote niliyoyataja hapo, ndio kwani kuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke ambaye hampi sex, kutoa sex ni jukumu kwa kila jinsia

Kumbe unajua ni jukumu la kila jinsia that's nice
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Kumbe bado upo Mwanza my?
 
Hivi mbona kwenye masuala ya kupewa ngono, heshima pamoja na kufanyiwa baadhi ya majukumu humo kwenye mageto yenu huwa hamsubiri hadi muoe, huwa mnataka wapenzi wenu watimize majukumu yote ya mke ila ninyi hamtaki kutumiza majukumu ya mume eti hadi muwaoe
Wachague nini chakufanya na kipi sichakufanya, hatuwalazimishi lakini nawao tunajua wanafanya Kwa nini.
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Na yeye anavyovaa akawa smati ukamuona anafaa na anakupa date wewe unachangia f3dha kiasi gani? Ndio sababu hamuolewi. Kazi kuzipigia bajeti pesa za wanaume. Tafuta pesa yako ujipambe. Pesa ya mwanaume uione kama jela. Hapo utajikomboa. Nilishangaa mama jirani anashangilia watoto wa kike kuitwa na marafiki wakiume wakafurahie maisha beach yeye anaona ni haki hafikirii pesa za kijana zinavyoungua. Mwanaume hawezi kufurahia hiki kitendo
 
Kama kupendeza kwangu kutakuwa ni ombaomba,kazi yako kwangu ni sex: umarioo huo,kweli wanaume walikuwa enzi za mababu zetu walahi!!!! Ko wewe unataka sex tu,kisa ukiomba kitu fulani utaitwa ombaomba na mwanaume!!!!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na enzi za mababu zetu wanawake walikua hawahudumiwi na wasio waume zao. Walikua hawadangi na walioolewa walikua wanakaa nyumbani hawazuruli wala kutafuta kwasababu walikua na jukumu moja tu kumfurahisha mume na kulea watoto.
Wewe pia kaa nyumbani ulee watoto na usitegemee asie mumeo akulee labda kama kuna kitu unamuuzia.
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Huyu nae ni taifa la kesho...
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
So kama haja gharamia asikusifie au!!
 
Kumbe unajua ni jukumu la kila jinsia that's nice
Ndio kwahiyo kama mwanaume hatimizi majukumu kwa mwanamke wake basi asitegemee na mwanamke naye atimize majukumu kwake haijalishi majukumu gani
 
Wachague nini chakufanya na kipi sichakufanya, hatuwalazimishi lakini nawao tunajua wanafanya Kwa nini.
Huwa mnasema hamuwalazimishi lakini wasipofanya mnawaacha kwa kisingizio kwamba hawana sifa za mke, yani huwa mnatumia vitu kama hivyo kama kipimo cha mke, ila ninyi hamtaki kuwahudumia mnasingizia eti ni hadi mkiingia ndoani
 
Kwani ngono anayeifurahia ni mwanume pekee au unataka kusema nyinyi ngono kwenu si chochote ko mnakua kama mnamfanyia favour huyo mtu au?????

Na mwanaume gani uliyewahi kumuona analazimisha kufanyiwa majukumu ya kwenye getto lake kama usafi n.k wakati hajamuoa?????

Na suala la heshima heshima ipi unayozungumzia hapa
Kwenye suala la ngono huwa tunaangalia mwenye uhitaji zaidi na anayepata hasara zaidi kuliko mwenzie, ndio wanaume wengine wanatumia hayo majukumu kama kipimo cha kuona kuwa huyu mwanamke anafaa kuoa au hafai, heshima ninayozungumzia ni ile ya mwanamke kumsikiliza mwanaume mwanaume siku zote hutaka kusikilizwa na mwanamke haijalishi ni mke au mpenzi tu
 
Sasa kujipendezesha si maamuzi binafsi hata ukiamua kukaa rafu kama kutiwa utatiwa tu😁! Kujilisha ni wajibu wako kama mtu mzima sasa ulitaka nani akulishe kama ushahama kwa wazazi wako? Kama huwezi kujilisha rudi nyumbani ukawe mtoto mwema.
Mkuu kwenye suala la kuhonga huwa unawakazia kinouma, kwa nini unagoma kuhonga mkuu?😅😅😅
 
Urembo ni wako halafu nichangie mimi? Kwani kusifia ni kosa, mama yako, baba yako, ndugu zako mbona hawajakuchangia na wakikusifia unajiskia vizuri hautapiki? [emoji848]

Ujinga mwingine muwe mnaacha primary school, huku juu hekima ni muhimu. Sasa kama sina hela nifanyaje?

Kama hela ipo utasaidiwa ila usifosi kuwa ni lazima upewe unachotaka hata kama hakipo, hizi entitlement mentality mnatoaga wapi lakini? [emoji848]

Nyie mbona mkinenepeana kama viboko sisi wanaume tukitaka muwe portable shape huwa hamtupi tunachokata, mnaishia kujitetea "ooooh nimekubebea watoto wako halafu unaniponda shape yangu kukorongonyoka" how is this any of my business? [emoji848][emoji848] Me nataka portable shape sio malalamiko na kujitetea huwezi tulia nikatafute vitoto vidogo the same way wewe niliposhindwa kukulipia hela ya saloon wakati najitafuta haukunipa benefit of patience and kindness ukaamua kutafuta wenye hela wakukule ili upate hela ya saloon.

Loyalty goes both ways, acheni entitlement mentality za kitoto kujiona ninyi ndio kila siku mnakosewa wakati wanaume tunayetu ya kusema ila tunakaa kimya kuwasitirini. Wewe vumilia vya mwenzako kukosa ili na wewe siku ukishindwa mpatia anachotaka akupe heshima yako.

Acheni kuwashame wanaume financially, kwani wanaume wanapenda kutokuwa na pesa za kuwatoa out, kuwanunulia vizawadi vya kipuuzi, kuwapa mahitaji yenu?

Wanatamani ila nyakati za sasa ni ngumu sana, wanawake tamaa zenu zipo juu kushinda uwezo na fursa za kiuchumi ni za kumendea sana.
 
Back
Top Bottom