Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Wangapi wanaouhitaji huo mwili wako?Why they do need my body? They should make up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi wanaouhitaji huo mwili wako?Why they do need my body? They should make up
Umalaya tuUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Yote niliyoyataja hapo, ndio kwani kuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke ambaye hampi sex, kutoa sex ni jukumu kwa kila jinsia
Kumbe bado upo Mwanza my?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Wachague nini chakufanya na kipi sichakufanya, hatuwalazimishi lakini nawao tunajua wanafanya Kwa nini.Hivi mbona kwenye masuala ya kupewa ngono, heshima pamoja na kufanyiwa baadhi ya majukumu humo kwenye mageto yenu huwa hamsubiri hadi muoe, huwa mnataka wapenzi wenu watimize majukumu yote ya mke ila ninyi hamtaki kutumiza majukumu ya mume eti hadi muwaoe
Nasisitiza hasa kama hujaolewaMwili ni wako upambanie mwenyewe
Na yeye anavyovaa akawa smati ukamuona anafaa na anakupa date wewe unachangia f3dha kiasi gani? Ndio sababu hamuolewi. Kazi kuzipigia bajeti pesa za wanaume. Tafuta pesa yako ujipambe. Pesa ya mwanaume uione kama jela. Hapo utajikomboa. Nilishangaa mama jirani anashangilia watoto wa kike kuitwa na marafiki wakiume wakafurahie maisha beach yeye anaona ni haki hafikirii pesa za kijana zinavyoungua. Mwanaume hawezi kufurahia hiki kitendoUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Na enzi za mababu zetu wanawake walikua hawahudumiwi na wasio waume zao. Walikua hawadangi na walioolewa walikua wanakaa nyumbani hawazuruli wala kutafuta kwasababu walikua na jukumu moja tu kumfurahisha mume na kulea watoto.Kama kupendeza kwangu kutakuwa ni ombaomba,kazi yako kwangu ni sex: umarioo huo,kweli wanaume walikuwa enzi za mababu zetu walahi!!!! Ko wewe unataka sex tu,kisa ukiomba kitu fulani utaitwa ombaomba na mwanaume!!!!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu nae ni taifa la kesho...Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
So kama haja gharamia asikusifie au!!Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Ndio kwahiyo kama mwanaume hatimizi majukumu kwa mwanamke wake basi asitegemee na mwanamke naye atimize majukumu kwake haijalishi majukumu ganiKumbe unajua ni jukumu la kila jinsia that's nice
Huwa mnasema hamuwalazimishi lakini wasipofanya mnawaacha kwa kisingizio kwamba hawana sifa za mke, yani huwa mnatumia vitu kama hivyo kama kipimo cha mke, ila ninyi hamtaki kuwahudumia mnasingizia eti ni hadi mkiingia ndoaniWachague nini chakufanya na kipi sichakufanya, hatuwalazimishi lakini nawao tunajua wanafanya Kwa nini.
Kwenye suala la ngono huwa tunaangalia mwenye uhitaji zaidi na anayepata hasara zaidi kuliko mwenzie, ndio wanaume wengine wanatumia hayo majukumu kama kipimo cha kuona kuwa huyu mwanamke anafaa kuoa au hafai, heshima ninayozungumzia ni ile ya mwanamke kumsikiliza mwanaume mwanaume siku zote hutaka kusikilizwa na mwanamke haijalishi ni mke au mpenzi tuKwani ngono anayeifurahia ni mwanume pekee au unataka kusema nyinyi ngono kwenu si chochote ko mnakua kama mnamfanyia favour huyo mtu au?????
Na mwanaume gani uliyewahi kumuona analazimisha kufanyiwa majukumu ya kwenye getto lake kama usafi n.k wakati hajamuoa?????
Na suala la heshima heshima ipi unayozungumzia hapa
Mkuu kwenye suala la kuhonga huwa unawakazia kinouma, kwa nini unagoma kuhonga mkuu?😅😅😅Sasa kujipendezesha si maamuzi binafsi hata ukiamua kukaa rafu kama kutiwa utatiwa tu😁! Kujilisha ni wajibu wako kama mtu mzima sasa ulitaka nani akulishe kama ushahama kwa wazazi wako? Kama huwezi kujilisha rudi nyumbani ukawe mtoto mwema.