"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru

Change your mentality,
Ndio maana wanaume uwa tunawatumia wanawake kama viburudisho because mna mawazo ya Aina hii

Ww Hadi kupendeza kwako mwenyewe ukawa na muonekano mzuri unataka mwanaume ndio akufanyie?

Jipende mwenyewe kwanza kwa kuweka level ya status yako then ndio mwanaume aje kuongezea

Mwisho wa siku hata Ped utataka mwanaume akununulie means kama mwanaume hujampata utaweka majani au
 
My life goals, nitamfundisha dear daughter kuwa yeye sio kundi maalum. Ni binadamu kamili ambaye hatakiwi kuwa tegemezi kwa basic needs kama mlo na muonekano. Kiufupi mwanaume ni patner na sio solution ya matatizo madogo kama hayo

Na huu sio msimamo wangu ila ni maisha waliyoishi bibi, shangazi na mama zangu. Kwa hiyo asitafute laana yao

Absolutely
 
Hapo ndo tunapo tofautiana, wewe unaona mzigo ila mm sioni mzigo kwasababu nimeamua kijimilikisha.

Hata mm mpenzi wangu anafanya kazi ila hela zake ni za kwake, mimi sitaki hata kuziona.
Hata mi sitaki kuziona zake ila kuna majukumu nimempa atazitumia huko. Mi sifugi mwanamke kama mfugo, lazma awajibike nje ya sex.
 
Sijui kwa wanawake wa siku izi wanaona ni Haki yao kila wanachoombwa wapewe!!!Yan hawana tofaut na watot wadogo kweny uwezo wa kufikir
 
Hata mi sitaki kuziona zake ila kuna majukumu nimempa atazitumia huko. Mi sifugi mwanamke kama mfugo, lazma awajibike nje ya sex.

Lazima aongeze value ya kitu anachoringia yy kupata pesa kutoka kwa mwanaume

Otherwise ni useless

Ndio maana now tunapangana Tu

Mwanamke ana wanaume sita na mwanaume ana madem 100
 
Unajua mwanang mi ninachojua ni kwamba mahusiano mazuri yanachangiwa na mawasiliano mazuri baina yenu, kama huwez kuongea na mwenzako vizur ukajua changamoto zake bac hayo mahusiano hayatofika mbali, mwanamke anayekupenda sio rahic sana kukwambia changamoto zake zinazohitaji pesa, ataonyesha kutokuwa na furaha tuu, hadi umchimbe sana ndo atakwambia, cause anaogopa anaweza kukwambia ukaanza kumbadilikia maana wanaume wa sikuiz tupo sensitive sana tukianza kuombwa hela.

Sasa kaka Extrovert kama unasubiri hadi ujisikie ndo umpe, usipojisikia je??
Mwenzako huku anaendelea kunung'unika tuu, and trust me broo wananung'unika sana moyoni kwasababu nature ya mwanamke ni kupokea, asipo pokea anaona hapendwi na hathaminiwi.
Mkuu tatizo huwa sio kumpa hela mwanamke...... Tatizo ni namna mwanamke anavyotaka umpe hizo hela
Just imagine mwanamke anakasirika kuambiwa kapendaza kwasababu mwanaume aliyemuambia hajanunua yeye hilo gauni na wigi...... tafsiri yake ni kwamba ni wajibu wa mwanaume kumgharamikia kila kitu huyo mwanamke ili akiambiwa asikasirike.

Mkuu watu wanahonga mwanamke hadi unaogopa sio kwasababu wameombwa tu, ni kwasababu mwanamke amemuonyesha mwanaume umuhimu wake zaidi ya kumpa sex

Ukweli ni kwamba wanawake wengi sana ni wavivu hawana kazi za kufanya, kitu pekee anachokitegemea maishani mwake ni kupata mwanaume amuo ili abebe jukumu la kumuhudumia.... HII NDIO NDOTO YAO KUBWA
 
Na hakuna chochote wanachofanya au kuongeza value Yao,
Unakuta boy wake anapambana hata wapate kapagala ka kujihifadhi ila lenyew linawaza kuvaa vizur ili likawavutie wanaume wengine huko..wa dizain hii ni kuwajaza kwenye lorry moja na kumwagia kwenye mto wenye mambaa...wanachangia sana kuharbu hiki kizaz
 
Mkuu tatizo huwa sio kumpa hela mwanamke...... Tatizo ni namna mwanamke anavyotaka umpe hizo hela
Just imagine mwanamke anakasirika kuambiwa kapendaza kwasababu mwanaume aliyemuambia hajanunua yeye hilo gauni na wigi...... tafsiri yake ni kwamba ni wajibu wa mwanaume kumgharamikia kila kitu huyo mwanamke ili akiambiwa asikasirike.

Mkuu watu wanahonga mwanamke hadi unaogopa sio kwasababu wameombwa tu, ni kwasababu mwanamke amemuonyesha mwanaume umuhimu wake zaidi ya kumpa sex

Ukweli ni kwamba wanawake wengi sana ni wavivu hawana kazi za kufanya, kitu pekee anachokitegemea maishani mwake ni kupata mwanaume amuo ili abebe jukumu la kumuhudumia.... HII NDIO NDOTO YAO KUBWA

Very true,
Unajua wanawake wanastory nyingi sana za uongo wakikaa huko salun na kwenye magroup Yao

Na uwa hawaambiani ukweli yan hawatoi codes

Unakuta dem anasema mtu wangu kaninunulia gari, ila hasemi kuwa last 2 months mtu wangu alikuwa broke, nikauza cheni zangu, nikamkopea ela vikoba,

Now mambo yake Safi ameninunulia Prado

Sasa wanawake wale wajinga wanajua Prado imepatikana Kwa kuvua nguo tu
 
My life goals, nitamfundisha dear daughter kuwa yeye sio kundi maalum. Ni binadamu kamili ambaye hatakiwi kuwa tegemezi kwa basic needs kama mlo na muonekano. Kiufupi mwanaume ni patner na sio solution ya matatizo madogo kama hayo

Na huu sio msimamo wangu ila ni maisha waliyoishi bibi, shangazi na mama zangu. Kwa hiyo asitafute laana yao
Good hii dunia ya leo kila jinsia inatakiwa kufundishwa kujitegemea, hata wanaume wanatakiwa kufundishwa kujitegemea kwenye vitu vidogo vidogo kama house chores, wanawake kuwa tegemezi kulitokana na mgawanyo wa majukumu uliowekwa na wazee wetu kwahiyo wote wabadilike
 
Good hii dunia ya leo kila jinsia inatakiwa kufundishwa kujitegemea, hata wanaume wanatakiwa kufundishwa kujitegemea kwenye vitu vidogo vidogo kama house chores, wanawake kuwa tegemezi kulitokana na mgawanyo wa majukumu uliowekwa na wazee wetu kwahiyo wote wabadilike
Kabisa.. Dunia imebadilika na sisi inabidi tubadilike. Fikiria mtoto wa kike yupo extremely dependent kiasi hicho, akikutana na manyanyaso makali kwenye ndoa au mume wake akayumba kiuchumi, atafanya nini
 
Mke tunatunza vizuri tu, lakini nyie mnotaka kutunzwa kwenye mahusiano yasiyo rasmi ndio tunawaita mbwa na omba omba.
Hivi mbona kwenye masuala ya kupewa ngono, heshima pamoja na kufanyiwa baadhi ya majukumu humo kwenye mageto yenu huwa hamsubiri hadi muoe, huwa mnataka wapenzi wenu watimize majukumu yote ya mke ila ninyi hamtaki kutumiza majukumu ya mume eti hadi muwaoe
 
Back
Top Bottom