Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Level up girl, unagongwa na wauza mahindi and expect matunzo 😁 olew kwanza ili utunzwe kihalali.Thus you need men's housing!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Level up girl, unagongwa na wauza mahindi and expect matunzo 😁 olew kwanza ili utunzwe kihalali.Thus you need men's housing!!!!!
Hivi wanawake wa kiafrika nani aliwaambia muwe mnawaomba pesa wanaume?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Sasa kama kupiga na kuondoka unataka mtu akununulie vitu vya kazi gani. Kula posho yako ya uchakavu kajinunulie mavazi kimpango wako. Sio uombe direct!!!Ko huwa mnataka nini kwetu sisi kupiga na kuondoka au
Jiulize bibi yako aliomba nini kwa babu yako ili atoe tunda?😁 Utagundua alisifiwa sifiwa tu na kutwishwa ndoo ya maji mtoni.. Sasa wewe uhalali wa kuomba omba hela unautoa wapi?Kama kupendeza kwangu kutakuwa ni ombaomba,kazi yako kwangu ni sex: umarioo huo,kweli wanaume walikuwa enzi za mababu zetu walahi!!!! Ko wewe unataka sex tu,kisa ukiomba kitu fulani utaitwa ombaomba na mwanaume!!!!!!!🤣🤣🤣
Ulichosema ni sahihi ila angalia hio scenario nzima kama kuna nyakati yeyote mpenzi wako alifungua bakuli na kusema joyboy nipe hela ya kusuka, nipe hela ya iphone na kubandikia kucha.Upo sahihi cutelove
Unapoamua kumtongoza mwanamke awe mpenzi wako au mke wako ina maanisha umejimilikisha, na umeziba milango ya wanaume wengine kuingia.
Sasa kama umejimilikisha alaf hutaki kuhudumia, ndo una maanisha nn??
Si uwaachie wenzako wanaoweza kuhudumia, hapa naamisha chakula, malazi na mavazi
Mi huwa najisikiaga raha sana nikimnunulia mpenzi wangu gauni akalivaa likampendeza, au nikimpa hela akaenda kushonesha kwa fundi, siku mkiwa na mtoko hata ukimsifia sio wewe tuu utakayesikia raha, hata yeye mwenyew, ile furaha anayojisikia kwamba nimependezeshwa na mpenzi wangu inazidi kuongeza upendo na heshima kweny mahusiano yenu.
Tuacheni kukwepa majukumu, katika mahusiano ya mwanaume na mwanamke, mwanaume lazima u-play part kubwa kuzidi mwanamke.
Ina maana kupendeza kwa hisani ya jeshi la waasi porini ndio waseme hivyo!Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Yani babu anapiga saundi akiwa anatoka shambani location mtoni au kisimani, akimtwisha mtoto wa kike ndoo ya maji hadi anafika kwao kishaeleweka.Tena hao enzi za mababu zetu walikuwa hawa hudumii chochote zaidi ya kuzalisha watoto wengi 😁
Hizi ndio huwa fikra za kipuuzi sana za wanawake kudhani kitu pekee anachoweza kuchangia kwenye mahusiano ni SEX tuNa ukiona mwanaume anakomalia sex kabla ya ndoa ogopa huyo mtu Kama virus ,anataka uwe single mom
Sasa kujipendezesha si maamuzi binafsi hata ukiamua kukaa rafu kama kutiwa utatiwa tu😁! Kujilisha ni wajibu wako kama mtu mzima sasa ulitaka nani akulishe kama ushahama kwa wazazi wako? Kama huwezi kujilisha rudi nyumbani ukawe mtoto mwema.Wajibu wako kwangu ni nini sex tu basi kwa sababu najilisha na kujipendezesha,msipende mitelemko
Na endapo utaachika huko ndoani nani atakulisha?😁Ndo tunapima kama utaajibika kunitunza utakaponioa au utanioa niende kuzeeka mapema ,Kama uchumbani uliajibika ipasavyo huko mbeleni ni raha,Kama uchumbani uliniita ombaomba huko mbeleni ni majanga
🤠🤠🤠🤠😁!
Unajua mwanang mi ninachojua ni kwamba mahusiano mazuri yanachangiwa na mawasiliano mazuri baina yenu, kama huwez kuongea na mwenzako vizur ukajua changamoto zake bac hayo mahusiano hayatofika mbali, mwanamke anayekupenda sio rahic sana kukwambia changamoto zake zinazohitaji pesa, ataonyesha kutokuwa na furaha tuu, hadi umchimbe sana ndo atakwambia, cause anaogopa anaweza kukwambia ukaanza kumbadilikia maana wanaume wa sikuiz tupo sensitive sana tukianza kuombwa hela.Ulichosema ni sahihi ila angalia hio scenario nzima kama kuna nyakati yeyote mpenzi wako alifungua bakuli na kusema joyboy nipe hela ya kusuka, nipe hela ya iphone na kubandikia kucha.
Mwanamke ujiskie kumpa wewe sio alazimishe kama cutelove
Uzuri mmoja wanawake ambao naingiaga nao kwenye mifumo ya mapenzi wengi huwa wana vyanzo vya pesa pia hivyo sio malofa by 100%! Hio ni standard nimejiwekea ili kuepusha manung'uniko hayo unayosemea.Unajua mwanang mi ninachojua ni kwamba mahusiano mazuri yanachangiwa na mawasiliano mazuri baina yenu, kama huwez kuongea na mwenzako vizur ukajua changamoto zake bac hayo mahusiano hayatofika mbali, mwanamke anayekupenda sio rahic sana kukwambia changamoto zake zinazohitaji pesa, ataonyesha kutokuwa na furaha tuu, hadi umchimbe sana ndo atakwambia, cause anaogopa anaweza kukwambia ukaanza kumbadilikia maana wanaume wa sikuiz tupo sensitive sana tukianza kuombwa hela.
Sasa kaka Extrovert kama unasubiri hadi ujisikie ndo umpe, usipojisikia je??
Mwenzako huku anaendelea kunung'unika tuu, and trust me broo wananung'unika sana moyoni kwasababu nature ya mwanamke ni kupokea, asipo pokea anaona hapendwi na hathaminiwi.
Fungua pm hiyoNitumie namba yako pm nikutumie hela ya soda
Dada,Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru