ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nitumie namba yako pm nikutumie hela ya sodaHebu tufanye jambo moja, ondoa sex kwenye mahusiano yako. Ni kitu gani unahisi kitamfanya mwanaume wako aendelee kukuhitaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie namba yako pm nikutumie hela ya sodaHebu tufanye jambo moja, ondoa sex kwenye mahusiano yako. Ni kitu gani unahisi kitamfanya mwanaume wako aendelee kukuhitaji?
Mbona mnalazimisha sex kabla ya ndoa kwa nini msisubiri Kama mababu zetuEnzi za Mababu zako, bibi zako hawakua omba omba kama ulivyo wewe, bibi zako walisubili waolewe kwanza ndio wadai matunzo. Kama hujaolewa huna haki yakudai matunzo huo ni wajibu wa ndugu zako wewe. Na mwanaume nae ana dad zake ambao inatakiwa awatunze kama bado hawajaolewa.
Sasa akili nikwenye kichwa chako, ukubali au ukatae.Mbona mnalazimisha sex kabla ya ndoa kwa nini msisubiri Kama mababu zetu
KuzaaAkishawekeza kwako wewe unawekeza nini kwake? Kupanua miguu tu?
Mavazi yako unataka mwanaume ashiriki.
Kula kwako unataka ashiriki,
Makazi yako unataka ashiriki,
Makazi yako unataka ashiriki,
Kinachoshangaza zaidi hata wale wanaofanya kazi wanajigeuza wategemezi. Wewe unachangia nini kwenye mahusiano?
Mahusiano yanahusiana nini na kusifiwa?Pia mahusiano ni sehemu ya maisha
Kumzalia ni Baada ya kufunga ndoa , je hapa kwenye MAHUSIANO??? Majukumu yako ni yapi??Kumzalia
Alafu mama ake ukite ata baiskeli mbovu anaUnakuta ana 7,800 tu.
Mbona sijasema ambavyo wee umesema, [emoji23][emoji23][emoji23]Najua huwezi kuamini kwa sababu ya standard uliyoizoea ila independent ladies with beauty and brains wapo. Na haijalishi wapo kwa nadra kiasi gani ila wapo
Kuna wengine pia wanaopewa push na wanaume ambavyo unapenda kusikia, hao ndio wengi zaidi ila huwezi walaumu. Kama wanafanya mambo makubwa na wanaume zao wakaongeza nguvu. Kuna ubaya gani
Ila wale wanaoona uzuri ndio kila kitu huwa wanafanywa nini mjini zaidi ya kutumiwa na kupewa bata refu bila kupewa asset yoyote ya maana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta ana 7,800 tu.
Siwezi kusifia kwa kitu ambacho nimekigharamia.... Yaani nikupendezeshe kisha nikusifie umependeza? kwa pesa yangu?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru