Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Tunapanick vipi wakati malalamiko yake ni juu ya mpenzi wake ambae hata hatumjui? Sisi tunaplay part ya VAR, tunahoji on behalf of her boyfriend.Wakuu mmepaniki 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapanick vipi wakati malalamiko yake ni juu ya mpenzi wake ambae hata hatumjui? Sisi tunaplay part ya VAR, tunahoji on behalf of her boyfriend.Wakuu mmepaniki 😁😁
Na wewe usikate tamaa wape vidonge vyao 😁😁Wamepaniki baada ya kuwaambua hao
Sex kwenye mahusiano huwa tunadhani ni kuburudika lakini kwa asilimia 100 ya hili tendo ni kuzaaaaaa na si vinginevyo,wakati unasex mwanaume unawaza raha lakini mwanamke anawaza raha na matokeo yake baada ya kusex je nitapata ujauzito?Sio kila Mwanaume anayekua kwenye mahusiano hua na lengo la kuzaa na binti aliyenae.
Asubili aolewe kwanza ndio awaze kuzaa. Akiwa Single mother asije laumu watu, maana wanaume tunajijua.Sio kila Mwanaume anayekua kwenye mahusiano hua na lengo la kuzaa na binti aliyenae.
Akikimbia uzi wake wapo watakao soma kwa niaba yake coz mawazo aliyonayo hua wanayo mabinti wengi hasa wa hii generation ya sasa,so ujumbe utafika tu.Mtafanya binti akimbie uzi wake 😁
Nimechekaa, sio kila unachokiona ni sahihi kuwa kipo hivyo, kuna muda macho yanadanganya.
.......
Vipi ikitokea kua huna kizazi na huna uwezo wa kushika hiyo mimba? utarudisha gharama zote?Sex kwenye mahusiano huwa tunadhani ni kuburudika lakini kwa asilimia 100 ya hili tendo ni kuzaaaaaa na si vinginevyo,wakati unasex mwanaume unawaza raha lakini mwanamke anawaza raha na matokeo yake baada ya kusex je nitapata ujauzito?
Mimi nikisifiwa na jinsia mke najua hapa nimependeza kweli ila Mwanaume naelewa fisi yuko mawindoni 😁😁Halafu sio kila unaposifiwa kua umependeza inakua ina maanisha umependeza kweli,hizo hua ni ndoano tu za kujaribu kuvua kitoweo kwa kusifia,
Mwanaume anaweza kukwambia kua umependeza huku akijua kua hujapendeza,so kua muangalifu sana.
Unatumia kanuni gani kunitaka kuchangia urembo wako unaoniuzia?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Tuliza hilo komwe mtoto wakike, usituaibishe kaka zako, fikiria kuzaa ukiwa ndani ya ndoa.Sex kwenye mahusiano huwa tunadhani ni kuburudika lakini kwa asilimia 100 ya hili tendo ni kuzaaaaaa na si vinginevyo,wakati unasex mwanaume unawaza raha lakini mwanamke anawaza raha na matokeo yake baada ya kusex je nitapata ujauzito?
Nikuulize tu lengo lako la kunitaka hasa huwa ni nini? Tuanzie hapo kwanzaUchumba ni stage rasmi, nampaka mtu kakuchumbia maana yake kaleta barua kwenu yakuomba kibali Cha kuruhusiwa kua na wewe hapo mwanaume atakutunza kadri ya uwezo wake. Lakini sio hajatangaza hata nia ya wewe kua mkewe bado mpo Kwa kujiiba iba hufahamiki kwao Wala yeye kwenu hafahamiki ile ki Rasmi unataka utunzwe, sio kweli. Endelea kuwa omba omba utapata wanaume wasiojitambua wanaoteteresha uchumi wao Kwa kuhudumia wanawake ambao hawajui kama watakua wake zao.
Nawe mkuu why una muuliza mtoa mada maswali magumu magumu 🤨Tunapanick vipi wakati malalamiko yake ni juu ya mpenzi wake ambae hata hatumjui? Sisi tunaplay part ya VAR, tunahoji on behalf of her boyfriend.
Lengo la kwanza ni Sex, baada yahapo malengo mengine ndio yatafata kulingana na jinsi unavyo behave kwangu.Nikuulize tu lengo lako la kunitaka hasa huwa ni nini? Tuanzie hapo kwanza
Unatema madini! Nipo hapa kuchukua notesNajua huwezi kuamini kwa sababu ya standard uliyoizoea ila independent ladies with beauty and brains wapo. Na haijalishi wapo kwa nadra kiasi gani ila wapo
Kuna wengine pia wanaopewa push na wanaume ambavyo unapenda kusikia, hao ndio wengi zaidi ila huwezi walaumu. Kama wanafanya mambo makubwa na wanaume zao wakaongeza nguvu. Kuna ubaya gani
Ila wale wanaoona uzuri ndio kila kitu huwa wanafanywa nini mjini zaidi ya kutumiwa na kupewa bata refu bila kupewa asset yoyote ya maana..
Mahusiano sio ajira mabinti mjifunze hilo. Wewe ukisema baby una gari zuri unakuwa umechangia bei gani au mauno?Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Kwahiyo kila Mwanaume unayekutana nae na akakutaka hua upo tayari kumzalia tu? utazaa watoto wangapi? au una lengo la kuja kuanzisha Kijiji chako cha watoto mchanganyiko?Nikuulize tu lengo lako la kunitaka hasa huwa ni nini? Tuanzie hapo kwanza