"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

Good hii dunia ya leo kila jinsia inatakiwa kufundishwa kujitegemea, hata wanaume wanatakiwa kufundishwa kujitegemea kwenye vitu vidogo vidogo kama house chores, wanawake kuwa tegemezi kulitokana na mgawanyo wa majukumu uliowekwa na wazee wetu kwahiyo wote wabadilike
Mwanamke hajawahi kuwa tegemezi, bali rafsiri, hata anayekaa nyumbani huku aki manage familia huyo ni mfanyakazi kamawafanyakazi wengine......
 
Hivi mbona kwenye masuala ya kupewa ngono, heshima pamoja na kufanyiwa baadhi ya majukumu humo kwenye mageto yenu huwa hamsubiri hadi muoe, huwa mnataka wapenzi wenu watimize majukumu yote ya mke ila ninyi hamtaki kutumiza majukumu ya mume eti hadi muwaoe

Jukumu gani? Kutoa sex ni jukumu?

So ikitokea umepata Ajari na uwez tena kufanya sex Kwa mwaka mzima means utakuwa out of market?
 
Upo sahihi cutelove

Unapoamua kumtongoza mwanamke awe mpenzi wako au mke wako ina maanisha umejimilikisha, na umeziba milango ya wanaume wengine kuingia.

Sasa kama umejimilikisha alaf hutaki kuhudumia, ndo una maanisha nn??

Si uwaachie wenzako wanaoweza kuhudumia, hapa naamisha chakula, malazi na mavazi

Mi huwa najisikiaga raha sana nikimnunulia mpenzi wangu gauni akalivaa likampendeza, au nikimpa hela akaenda kushonesha kwa fundi, siku mkiwa na mtoko hata ukimsifia sio wewe tuu utakayesikia raha, hata yeye mwenyew, ile furaha anayojisikia kwamba nimependezeshwa na mpenzi wangu inazidi kuongeza upendo na heshima kweny mahusiano yenu.

Tuacheni kukwepa majukumu, katika mahusiano ya mwanaume na mwanamke, mwanaume lazima u-play part kubwa kuzidi mwanamke.

Umeongea vizuri kabisa mkuu ilaaa umeisoma hiyo attitude nyuma ya hiyo thread na kuielewa

Mwanamke atunzwe ni sawa Ila mwanamke asiwe TEGEMEZI na MDUMAVU kimwili, kiakili na kiroho..

Mwanamke ambaye hawezi hata kupata fikra ya kujilisha na kujipendezesha bila nwanaume. Anaweza kufanya nini maishani

Ulichokiongea ni sawa kama ni for fun maana ndio malipo ya huduma lakini kama upo kwa serious relationship. Mwanamke anatakiwa akuelewe lakini pia achangie ukuaji wako kiakili, kihisia, kifedha, kiroho etc..

Unless una vipaumbele tofauti mkuu na ni sawa pia
 
Mwanamke hajawahi kuwa tegemezi, bali rafsiri, hata anayekaa nyumbani huku aki manage familia huyo ni mfanyakazi kamawafanyakazi wengine......
Naamini hii mentality ya kipuuzi kabisa huwezi kuja kuwapandikiza mabinti zako mkuu

Na ndio maana wanawake wengi sana hii ndio “ajira” pekee wameikodolea macho....... ukimu approach siku ya kwanza tu anaanza kudai ujira 😂
 
Naamini hii mentality ya kipuuzi kabisa huwezi kuja kuwapandikiza mabinti zako mkuu

Na ndio maana wanawake wengi sana hii ndio “ajira” pekee wameikodolea macho....... ukimu approach siku ya kwanza tu anaanza kudai ujira 😂
In short wewe hujawahi kumanage familia.
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Kwani wewe ni Mlemavu?
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Wewe cute mbona povu sana unadhani wanaume wote tunafanya hivyo wewe mzodoe huyo huyo zoba wako wengine tuache huru.

Lkn kusifiwa umependeza hata kama sijachangia chochote na siyo hawala yako kosa liko wapi?

Kukusifia umependeza , mlimbwende , Mungu alikuumba wa pekee ili ni ingize gia ya mtongozo shida Iko wapi?

Naweza kurupuka tu nakutana na wewe barabarani natoa bungutu la Hela nenda shopping babe 😘 bila kufahamiana na wewe

Cute cute cute punguza povu mama we love some one who care herself msafi natural

Aiseee
 
Jukumu gani? Kutoa sex ni jukumu?

So ikitokea umepata Ajari na uwez tena kufanya sex Kwa mwaka mzima means utakuwa out of market?
Yote niliyoyataja hapo, ndio kwani kuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke ambaye hampi sex, kutoa sex ni jukumu kwa kila jinsia
 
Upo sahihi cutelove

Unapoamua kumtongoza mwanamke awe mpenzi wako au mke wako ina maanisha umejimilikisha, na umeziba milango ya wanaume wengine kuingia.

Sasa kama umejimilikisha alaf hutaki kuhudumia, ndo una maanisha nn??

Si uwaachie wenzako wanaoweza kuhudumia, hapa naamisha chakula, malazi na mavazi

Mi huwa najisikiaga raha sana nikimnunulia mpenzi wangu gauni akalivaa likampendeza, au nikimpa hela akaenda kushonesha kwa fundi, siku mkiwa na mtoko hata ukimsifia sio wewe tuu utakayesikia raha, hata yeye mwenyew, ile furaha anayojisikia kwamba nimependezeshwa na mpenzi wangu inazidi kuongeza upendo na heshima kweny mahusiano yenu.

Tuacheni kukwepa majukumu, katika mahusiano ya mwanaume na mwanamke, mwanaume lazima u-play part kubwa kuzidi mwanamke.
Mnajipa majukum kwa lazima baadae mnataka kujiua wakiwatosa.

Huyo unayemfanya kama mlemavu aliye na ukoma ni binadamu mwenzako.

Sasa mtu aliyekuwa anatembea na kufanya kazi unataka umfanye kama Zumugulu eti umezuia wanaume wengine kwani yupo kwa ajili ya kuuza Nyapu tu?

Hizi akili Wanawake wataendelea kuliwa sana hadi 0713.

Kwanini ionekane K ni kitga uchumi?

bahati Mbaya sana wakati wewe unahudumia na kuiba kazini ili uhonge kuna Mchizi pembeni katulia anaichakata bure tena anavyotaka
 
Harafu jiulize kama Kila mwanamme akakubariki Kwa kakuambia mbaya na mshamba hebu nambie povu lake cute
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.

Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.

Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.

Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.

Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Mwanamke kusifiwa humfanya ajisikie vizuri, sema wewe una makasiriko yako tu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom