Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Si umnyimeMbona unautaka na huutunzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umnyimeMbona unautaka na huutunzi?
Sasa sex unaona ni kitu muhimu cha kushindanisha na hela? Pesa zinaenda zikiongezeka mwili unaenda ukizeeka. Wewe ukizeeka utatoa nini sasa kwa wanaume ili upewe hayo mahitaji unayoforce kupewa as if baba yako aliacha mirathi yake kwa wanaume?
Mvumulie basiTunaishi kwa kutegemeana
You can never be more right 😃😃.Unakuta ana 7,800 tu.
Kabisa MkuuKwanza inatakiwa 50% iliyobakia atoe baba yake. Mtu ambaye sio mzazi wako akikuweka kwenye bajeti zake unatakiwa kumheshimu sana.
Babu hili ni kweliKabisa Mkuu
Wanaume tunajitoa sana Kwa hawa warembo, ni vile baadhi yao kukosa shukrani
Wow, that's beautiful 🤗Babu hili ni kweli
Wanaume mna roho nzuri just imagine naperuzi kila siku kwa bundle la mkwe wako
Hayo ni matokea ya kimbunga Hidaya!lazima kimekuja na wasindikizaji wake ma homie girlz,ni mwendo wa vimbunga tu 😁😁😁Hii wiki wanaume wa humu wanapitiwa na vimbunga hadi sio poa.....
Ngoja watoke church make wengi ni waimba kwaya.
Sawa babuWow, that's beautiful 🤗
Huyo Mkwe akileta Posa lazima tumpe punguzo la mahari 😅😜
Mkuu hao pimbi hawaelewekiWanawake wanapendeza ili wasifiwe, usipomsifia pia ni vita.
Kwa kuanzia napendekeza tumpe punguzo la asilimia 40Sawa babu
😂😂😂😂😂😂 Maghayo hivi huwa unatupia vyombo eeh???Umbwaa mkaldayo Chaliifrancisco hela zote za mbusii anaowauza mnadani anahonga.
40% mbona nyingi babu, fanya 10%Kwa kuanzia napendekeza tumpe punguzo la asilimia 40
Nitawashawishi Wazee wenzangu tuikubali Hilo punguzo 😜
Hapa kimbunga cute love pale kimbunga Zurie wanaume wanapoteana kwa upepo mkali...kuna kimbunga Amicus Curiae pia 😂😂😂😂Hayo ni matokea ya kimbunga Hidaya!lazima kimekuja na wasindikizaji wake ma homie girlz,ni mwendo wa vimbunga tu 😁😁😁
🤣🤣🤣Hakika mabadiliko ya Hali ya hewa ni tatizo la kiduniaHapa kimbunga cute love pale kimbunga Zurie wanaume wanapoteana kwa upepo mkali...kuna kimbunga Amicus Curiae pia 😂😂😂😂
Tungependa kiasi kingine mkitumie kununua Kiwanja kule Bunju na Mkwe wetu pamoja na kwenda Vacation Johannesburg 😜40% mbona nyingi babu, fanya 10%
cocastic umependeza leoUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Tatizo mvua zikinyesha huwa zinatibua homoni zetu…😹😹😹😹😹Hapa kimbunga cute love pale kimbunga Zurie wanaume wanapoteana kwa upepo mkali...kuna kimbunga Amicus Curiae pia 😂😂😂😂