Bacca agombaniwa na timu za Ulaya

Bacca agombaniwa na timu za Ulaya

Hajafikia hata kiwango cha Josip stanic na stanic huko leverkusen anawekwa bench sasa waongeze mchezaji wa kukaa bench au? Hiyo leverkusen ndo inaongoza ligi wanahitaji wachezaji wenye ubora wa juu huyo bado yuko level ya Tp mazembe
 
Inaelezwa kuwa klabu kadhaa kutokea Barani ulaya ikiwemo bayern leverkusen zimevutiwa na uwezo wa mlinzi wa Taifa Stars, Ibrahim Bacca anaechezea Yanga SC.

Klabu zinazotajwa zaidi ni kutokea nchini Ubelgiji, Italy na Ufaransa inawezekana muda wowote ofa ikatumwa pale Jangwani Kwa ajili ya kumng'oa nyota huyo.

Bravo scout wa Yanga [emoji1628]View attachment 2882137

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Acha upoyoyo we jamaa ulaya kabla ya kipaji wanaangalia umri kwanza unadhani hao ni kama simba na yanga wanabeba wazee kama kina bigirimana na saidoo.
 
Hajafikia hata kiwango cha Josip stanic na stanic huko leverkusen anawekwa bench sasa waongeze mchezaji wa kukaa bench au? Hiyo leverkusen ndo inaongoza ligi wanahitaji wachezaji wenye ubora wa juu huyo bado yuko level ya Tp mazembe
Anafurahisha kijiwe tu anajua ulaya ni kama team za kkoo.
 
Inaelezwa kuwa klabu kadhaa kutokea Barani ulaya ikiwemo bayern leverkusen zimevutiwa na uwezo wa mlinzi wa Taifa Stars, Ibrahim Bacca anaechezea Yanga SC.

Klabu zinazotajwa zaidi ni kutokea nchini Ubelgiji, Italy na Ufaransa inawezekana muda wowote ofa ikatumwa pale Jangwani Kwa ajili ya kumng'oa nyota huyo.

Bravo scout wa Yanga [emoji1628]View attachment 2882137

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila huyu dogo ana kipaji aisee. Na kwa kweli Yanga wanahitaji pongezi kwa kumpa mkataba wa muda mrefu. Maana huo mkataba utawalipa bila shaka.
 
Mpambanaji Kama bacca ni halali kwake kwenda ulaya Hata aanze na timu ya kawaida ligi daraja la kwanza apande Mpaka timu kubwa za ulaya .
Wa Zanzibar wenzake wapo England wamuunganishie timu ulaya Kama mwenzake abdala shaibu alipokuwa La galaxy .

Watoto wadogo wakiona mifano Yao watataka nao wawe Kama wao , sio sasahivi mtaani watoto wanataka kuwa Kama Diamond , harmonize , marioo nk upuuzi mtupu mfyuuuu.
 

Attachments

  • A41F1E6A-4BB6-45E2-AF7C-221CE23A6718.jpeg
    A41F1E6A-4BB6-45E2-AF7C-221CE23A6718.jpeg
    84.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom