we ulisikiaje? hebu sema wewe kwa hicho kiingereza uruke mpiraUshauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA [emoji16]
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Wewe ni MtumwaUshauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Hebu wewe tuambie hapa, ruka Mpira kwa Kiingereza ungesemaje?Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
[emoji3]Hebu wewe tuambie hapa, ruka Mpira kwa Kiingereza ungesemaje?
Wachawi huvaa nguo za kufanana,utopolo na ccm rangi zenu mojsmakolo bhana hamna tofauti na ccm na ccm haina tofauti na mchawi.
Acheni ushabiki wa kipumbavu unawafanya mdhihirishe mlivyojaza kinyesi kichwani. Samata Mswahili anakwendaje kumwambia Bacca Mswahili Kwa kiingereza? Mwanzo nilikuona bonge la mwanasoka kumbe Mburula tu?Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Mburula humu mbn wengi mkuuAcheni ushabiki wa kipumbavu unawafanya mdhihirishe mlivyojaza kinyesi kichwani. Samata Mswahili anakwendaje kumwambia Bacca Mswahili Kwa kiingereza? Mwanzo nilikuona bonge la mwanasoka kumbe Mburula tu?
Niliamini JF ina GT watupu kumbe siku hizi ni kokoro.Mburula humu mbn wengi mkuu
Kwani kujua kiingereza ni lazima? Fedhesha kutojua lugha ya mwenzako? Acha ushamba.Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Mkuu tena yamejaa makokoro ya kutosha, huwa nasoma ,najiuliza hawa ndio JF GT ?Niliamini JF ina GT watupu kumbe siku hizi ni kokoro.