Bacca jifunze Kingereza kuondoa fedheha kama ya leo

Bacca jifunze Kingereza kuondoa fedheha kama ya leo

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake cha halali akiwa hana HIRIZI pia suala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA.
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
 

Attachments

  • FB_IMG_1700408956145.jpg
    FB_IMG_1700408956145.jpg
    109.3 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1700045242071.jpg
    FB_IMG_1700045242071.jpg
    39.7 KB · Views: 3
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Acheni ushabiki wa kipumbavu unawafanya mdhihirishe mlivyojaza kinyesi kichwani. Samata Mswahili anakwendaje kumwambia Bacca Mswahili Kwa kiingereza? Mwanzo nilikuona bonge la mwanasoka kumbe Mburula tu?
 
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake Cha halali akiwa Hana HIRIZI pia swala la kumshauri.

Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA,
Kwani kujua kiingereza ni lazima? Fedhesha kutojua lugha ya mwenzako? Acha ushamba.
 
Back
Top Bottom