Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

Nikozi nzuri sana na ina ushindani mkubwa san SUA ..zaidi ya 80% ya wafanyakazi wa CRDB wanafanya kozi hii...hPa unaweza kuwa mchumi..mhasibu..mjasiriamali..hawa shambani milk walisoma course hii!
 
umeshukuru kusikia waliosoma wapo crdb?
Kasome ili ujiajiri ila tuseme ukweli kozi zote nzuri, uzuri au ubaya wa kozi upo kwa muhusika mwenyewe.
Mkuu unaifahamu hii kozi
 
wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""bachelor of agriculture economy and agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje ..
Almost course zote SUA ni nzuri ila jiandae kwa msuli ya zaidi uliokuwa unaupiga A-level na O-level, pia ukifanikiwa kuchaguliwa starehe zisiwe kipaumbele kwako bila hivyo mwaka wa kwanza tuu utarudi zako kijijini chitohori
 
Nikozi nzuri sana na ina ushindani mkubwa san SUA ..zaidi ya 80% ya wafanyakazi wa CRDB wanafanya kozi hii...hPa unaweza kuwa mchumi..mhasibu..mjasiriamali..hawa shambani milk walisoma course hii!

Huwezi kusoma course hii ukawa mhasibu mkuu,hivyo vingine ni sawa
 
Almost course zote SUA ni nzuri ila jiandae kwa msuli ya zaidi uliokuwa unaupiga A-level na O-level, pia ukifanikiwa kuchaguliwa starehe zisiwe kipaumbele kwako bila hivyo mwaka wa kwanza tuu utarudi zako kijijini chitohori
Ndo wamenichagua kozi hii.... yani bata hatuli kabisa mkuu.. mbona itakua tabu sana
 
Almost course zote SUA ni nzuri ila jiandae kwa msuli ya zaidi uliokuwa unaupiga A-level na O-level, pia ukifanikiwa kuchaguliwa starehe zisiwe kipaumbele kwako bila hivyo mwaka wa kwanza tuu utarudi zako kijijini chitohori

Hii course micalculas, midifferentiation ni kama yote vile,yaani pure mathematics unaikuta tena huku,yaani ni shigdaaaa
 
Hii course micalculas, midifferentiation ni kama yote vile,yaani pure mathematics unaikuta tena huku,yaani ni shigdaaaa
Hivi mkuu unaweza ukawa unasoma pale alaf unamiliki shamba maeneo ya morogoro kule ili kujikimu
 
Mkuu ni "Agriculture Economics and Agribusiness (AEA)"
wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""bachelor of agriculture economy and agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje ..
 
Mwenyew nimechaguliwa hiyo course hapo sua ila daah nawaza sana huo msuli ambao hakuna free time hata kidogo
 
Back
Top Bottom