Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

Haaaaa, picha inaanza utapigwa screen test, ukifeli unabeba somo afu halina credit ,
Afu ndo unaanza kula lecture masaa matatu, venue zenu AEA Ni SLT1,3,4 na SLT 6 maana inabeba watu wengi Sana!!
Karibu Sana SUA, karibu Sana mazimbu campus!!
 
Sio kweli kwamba hakuna free time, inategemea na mwenyewe unaichukulia vipi shule na ratiba zako zipo vipi. Nimemaliza iyo course na sijaona haya ambayo wengi wanayazungumza apa. Wengi hulete chumvi nyingi kuliko uhalisia
Mwenyew nimechaguliwa hiyo course hapo sua ila daah nawaza sana huo msuli ambao hakuna free time hata kidogo
 
Sio kweli kwamba hakuna free time, inategemea na mwenyewe unaichukulia vipi shule na ratiba zako zipo vipi. Nimemaliza iyo course na sijaona haya ambayo wengi wanayazungumza apa. Wengi hulete chumvi nyingi kuliko uhalisia
Mwenyewe nimezoea kusoma kiasi tu na kufanya mambo mengine, asa kama hayo tunayoyasikia ya kua so busy na class tu kutakua na ugumu kwel
 
Wadogo zangu mliochaguliwa SUA kusoma hiyo kozi kwanza hongereni sana. Nimeona waliochaguliwa wanapata wasiwasi kidogo.Naomba niweke my two cents[emoji4]

Kiuhalisia iko hivi..for anything to be successful kuna some kind of effort, commitment and discipline inayohitajika kuwa applied...masomo included.

Kuna muda inabidi ubadili gia ili mambo yako yaende....kuna waliosema wamezoea "kusoma kiasi" na kufanya "mambo mengine"....ndio wengi wetu tulikua hivyo hivyo...lakini kuna muda inafika inakubidi tuu usome sana yani hamna namna....ili uweze kufikia malengo yako uliyojiwekea kimasomo na kwenda na kasi ya walimu darasani.

Naamini asilimia kubwa ya hayo "mambo mengine" yanaweza kufanyika muda wowote tuu hata mkiwa likizo. Kwahiyo jitahidini sana kuwa flexible ili kuendana na mabadiliko ya mazingira mtakayoishi...hakuna kitu kinachoshindikana ukiweka nidhamu na bidii.

Kumbukeni kinachowapeleka chuo ni elimu kwanza, hayo mengine yapo tuu na hata usipoweza kuyafanya hamna atakayekushangaa.

Mwisho kabisa karibuni sana SUA, karibuni sana Morogoro[emoji8]
 
Wadogo zangu mliochaguliwa SUA kusoma hiyo kozi kwanza hongereni sana. Nimeona waliochaguliwa wanapata wasiwasi kidogo.Naomba niweke my two cents[emoji4]

Kiuhalisia iko hivi..for anything to be successful kuna some kind of effort, commitment and discipline inayohitajika kuwa applied...masomo included.

Kuna muda inabidi ubadili gia ili mambo yako yaende....kuna waliosema wamezoea "kusoma kiasi" na kufanya "mambo mengine"....ndio wengi wetu tulikua hivyo hivyo...lakini kuna muda inafika inakubidi tuu usome sana yani hamna namna....ili uweze kufikia malengo yako uliyojiwekea kimasomo na kwenda na kasi ya walimu darasani.

Naamini asilimia kubwa ya hayo "mambo mengine" yanaweza kufanyika muda wowote tuu hata mkiwa likizo. Kwahiyo jitahidini sana kuwa flexible ili kuendana na mabadiliko ya mazingira mtakayoishi...hakuna kitu kinachoshindikana ukiweka nidhamu na bidii.

Kumbukeni kinachowapeleka chuo ni elimu kwanza, hayo mengine yapo tuu na hata usipoweza kuyafanya hamna atakayekushangaa.

Mwisho kabisa karibuni sana SUA, karibuni sana Morogoro[emoji8]
Haaa mkuu heshima yako, waambie pia screening test IPO, wasisahau Sana tenses na Grammar pia....
 
Wadogo zangu mliochaguliwa SUA kusoma hiyo kozi kwanza hongereni sana. Nimeona waliochaguliwa wanapata wasiwasi kidogo.Naomba niweke my two cents[emoji4]

Kiuhalisia iko hivi..for anything to be successful kuna some kind of effort, commitment and discipline inayohitajika kuwa applied...masomo included.

Kuna muda inabidi ubadili gia ili mambo yako yaende....kuna waliosema wamezoea "kusoma kiasi" na kufanya "mambo mengine"....ndio wengi wetu tulikua hivyo hivyo...lakini kuna muda inafika inakubidi tuu usome sana yani hamna namna....ili uweze kufikia malengo yako uliyojiwekea kimasomo na kwenda na kasi ya walimu darasani.

Naamini asilimia kubwa ya hayo "mambo mengine" yanaweza kufanyika muda wowote tuu hata mkiwa likizo. Kwahiyo jitahidini sana kuwa flexible ili kuendana na mabadiliko ya mazingira mtakayoishi...hakuna kitu kinachoshindikana ukiweka nidhamu na bidii.

Kumbukeni kinachowapeleka chuo ni elimu kwanza, hayo mengine yapo tuu na hata usipoweza kuyafanya hamna atakayekushangaa.

Mwisho kabisa karibuni sana SUA, karibuni sana Morogoro[emoji8]
Tutajitahidi iwezekanavyo kupambana ili twendane na hali halisia
 
Huwezi kusoma course hii ukawa mhasibu mkuu,hivyo vingine ni sawa
Anaweza pia akapga vikaz ving sana afanyavyo mhasbu akimalza hyo kozi, pia atakuwa na msing mzur kama analmalengo ya kuwa Chartered au Certified Accountant safar hatua
 
Anaweza pia akapga vikaz ving sana afanyavyo mhasbu akimalza hyo kozi, pia atakuwa na msing mzur kama analmalengo ya kuwa Chartered au Certified Accountant safar hatua

Shida hapo mkuu uhasibu atafundishwa intoduction tu ambayo haipo deep kujua vitu vya course nzima ya uhasib.Major yake zaidi itakuwa ni masuala ya kiuchumi na mazaga zaga yake yote.Huyu hata CPA anaanzia foundation na sio intermediate kama waliosoma accounts tokea mwaka wa kwanza hadi wa tatu
 
Mwenyew nimechaguliwa hiyo course hapo sua ila daah nawaza sana huo msuli ambao hakuna free time hata kidogo
Sawa umechaguliwa... Je! Ndio chaguo lako...? Unafahamu utakuja kuwa nani baadae.....???? Au na wewe unasoma kwa mkumbo kuwa na wewe umeenda chuo.../??? Usikute unasoma kitu ambacho baadae utajajuta

Ila hongera kwa kupata chuo... Maana kuna watu wamepata Div One na hawajawa selected
 
Sawa umechaguliwa... Je! Ndio chaguo lako...? Unafahamu utakuja kuwa nani baadae.....???? Au na wewe unasoma kwa mkumbo kuwa na wewe umeenda chuo.../??? Usikute unasoma kitu ambacho baadae utajajuta

Ila hongera kwa kupata chuo... Maana kuna watu wamepata Div One na hawajawa selected
Mkuu naelewa nachoenda kukisoma sikukurupuka tu kuchagua hiyo course
 
Ila kiukweli katika vyuo ambavyo navikubali Tanzania kimojawapo ni SUA.
Yaani kozi zao zote ziko marketable na pia wahitimu wake Wana uwezo mkubwa sana wa kuyakabili mazingira ya mtaani baada ya kumaliza masomo.
Ni aghalabu sana kuwaona wahitimu wa SUA wakilia lia mtaani kwa kukosa kuajiriwa bali utawaona wakijiongeza fasta kwa kuunda vikundi vyao na kujiajiri.
Chuo Kama hiki ndio unaweza kukiita the best na sio vile vyuo vingine vinavyojipa ranks za juu halaf ukiangalia graduates wake ni mamburula tu.
 
Back
Top Bottom