Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhaaahaha...Dah!Kufika huku utajua mwenyewe utafanyaje, Ila ukifika nitafute
Ni mji ulioko Sweden.Malmo ni wapi?
Wewe huna lolote..nilikuuliza swali kwa siku kibarua analipwa sh ngapi, mpaka leo hujajibu!!Moja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi.
Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha.
Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea Malmo baada ya kuwepo huko kwa wiki mbili, na hakika nimepata kilichonipeleka.
Baada ya kurudi gheto nimekuta sio safi sana, ila sio pachafu sana kwa kuwa napenda sana usafi.
Kuna kipindi wengi waliniuliza napoishi huku Leirvik,naishi pa kawaida sana wala hakuna sana maajabu cha msingi uweze tu kupata pesa ya kutosha kutoka kwenye mishe zako na hilo ndio lililonileta.
Ila bado nasisitiza wenzetu wanafanya sana kazi na wanaishi, hili yapaswa kuwa somo kubwa kwetu wabongo.
Kutokana na furaha niliyonayo, naruhusu maswali Ila sio ya kukera, namaanisha ni kama tunapiga story.
View attachment 1840422View attachment 1840423View attachment 1840424View attachment 1840425View attachment 1840426View attachment 1840429View attachment 1840430View attachment 1840433View attachment 1840434View attachment 1840436
Not realisticJibu langu ni like lile uliloquote.
Sometimes kusoma comments zote ngumu na kujibu papohapo.Wewe huna lolote..nilikuuliza swali kwa siku kibarua analipwa sh ngapi, mpaka leo hujajibu!!
Kama unatucheka sisiMoja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi.
Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha.
Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea Malmo baada ya kuwepo huko kwa wiki mbili, na hakika nimepata kilichonipeleka.
Baada ya kurudi gheto nimekuta sio safi sana, ila sio pachafu sana kwa kuwa napenda sana usafi.
Kuna kipindi wengi waliniuliza napoishi huku Leirvik,naishi pa kawaida sana wala hakuna sana maajabu cha msingi uweze tu kupata pesa ya kutosha kutoka kwenye mishe zako na hilo ndio lililonileta.
Ila bado nasisitiza wenzetu wanafanya sana kazi na wanaishi, hili yapaswa kuwa somo kubwa kwetu wabongo.
Kutokana na furaha niliyonayo, naruhusu maswali Ila sio ya kukera, namaanisha ni kama tunapiga story.
View attachment 1840422View attachment 1840423View attachment 1840424View attachment 1840425View attachment 1840426View attachment 1840429View attachment 1840430View attachment 1840433View attachment 1840434View attachment 1840436
Sasa mkuu umeenda huko ughaibuni umeambulia rabaUnamaanisha nini?
Power to you braza, wengine tulirudi bila malengo imetugharimu sana..usisikize hoja za nyumbani kumenoga ni USHUZI mtupu brazamenMoja ga jambo kubwa nililojifunza tokea nije huku ni kuwa na nidhamu ya kazi. Watu wengi wana nidhamu kubwa ya kazi.
Mimi pia tokea nipo bongo nilikuwa nna same character kama za watu wa huku hivyo ndio maana inakuwa rahisi kwangu kuishi kwa raha.
Tuachane na hayo, nimerudi Norway nikitokea Malmo baada ya kuwepo huko kwa wiki mbili, na hakika nimepata kilichonipeleka.
Baada ya kurudi gheto nimekuta sio safi sana, ila sio pachafu sana kwa kuwa napenda sana usafi.
Kuna kipindi wengi waliniuliza napoishi huku Leirvik,naishi pa kawaida sana wala hakuna sana maajabu cha msingi uweze tu kupata pesa ya kutosha kutoka kwenye mishe zako na hilo ndio lililonileta.
Ila bado nasisitiza wenzetu wanafanya sana kazi na wanaishi, hili yapaswa kuwa somo kubwa kwetu wabongo.
Kutokana na furaha niliyonayo, naruhusu maswali Ila sio ya kukera, namaanisha ni kama tunapiga story.
View attachment 1840422View attachment 1840423View attachment 1840424View attachment 1840425View attachment 1840426View attachment 1840429View attachment 1840430View attachment 1840433View attachment 1840434View attachment 1840436