BAD NEWS: Simba tumeshuka ranks za CAF hatarini kuanzia round ya awali na vilaza, Namungo bado ya 56

BAD NEWS: Simba tumeshuka ranks za CAF hatarini kuanzia round ya awali na vilaza, Namungo bado ya 56

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
dah siamini aisee, kutoka 12 hadi 14 anyway dah naona namungo bado wako palepale 56, hapo ndo mwisho wa list kama team yako hauioni pole sana

Shida ni kwamba kwenye zile top 10 za kuanzia round ya kwanza naona kama safari hii ni ngumu maana kuanzia namba moja hadi 13 , teams ambazo kwenye nchi zao haziwezi kupata nafasi ya klabu bingwa kwa harakaharaka ni Berkane, Orlando pirates, Pyramids , hadi hapo tuko nje ya teams kumi labda kama etoile du sahel huko tunisia hataenda klabu bingwa which is very unlikely

Ila kwa zone ya cecafa bado simba ni ya kwanza : Teams bora 5 kwa zone ya cecafa huku nafasi zao kwa level ya afrika zikiwa kwenye mabano

1:simba (14)
2:Gor mahia(41)
3: Namungo(56)
4:Kcca(56)
5:Rayon(56)

1.PNG
2.PNG
 
Faraja zenu MAKOLO baada ya kipigo cha mmbwa koko kule South Africa na kutolewa mpwitompwito kama panya buku.

Ule upumbavu wa "hatoki Mtu kwa Mkapa" umewaponza na hatimaye mliopumbazwa nao Orlando Pirates na Berkane FC wametinga fainali [emoji2]
Nakujibuje nimetafakari nikujibu namna gani nimeona ninyamaze umeelewa huu uzi unahusu nini? hapa tunaongea vitu serious siyo jitu linatoka huko linawadanganya tunachukua ubingwa na kuanzia round ya kwanza ...embu nyamaza kwanza wakubwa tuongee hapa angalau kidogo namungo watie neno wakiwa na Raon, Gor mahia na Kcca
 
Ata usiwe na wasiwasi

Hapo Rs Berkane , Pyramid, Orlando na Etou du sahel hawachezi champions league mwakani hivyo Simba ni wa 10 japo sijui Kama bingwa wa shirikisho huwa anaenda club bingwa moja kwa moja
 
Kwanini nafasi ya 13 haipo badala wameruka hadi 14? Je ikitokea timu zinalingana point ni kitu gani cha ziada wanachoangalia ili kumpa timu advantage ya kuwa juu ya mwenzie?
 
Ata usiwe na wasiwasi
Hapo Rs Berkane , Pyramid, Orlando na Etou du sahel hawachezi champions league mwakani hivyo Simba ni wa 10 japo sijui Kama bingwa wa shirikisho huwa anaenda club bingwa moja kwa moja
Mkuu upande wa Etoil du Sahel bado wana nafasi ya kushika nafasi ya pili wakikomaa. Maana wamecheza michezo minne wana point 5 wakati wa pili ana point 9 na michezo sita wamebakiza kumaliza ligi.
 
Ata usiwe na wasiwasi
Hapo Rs Berkane , Pyramid, Orlando na Etou du sahel hawachezi champions league mwakani hivyo Simba ni wa 10 japo sijui Kama bingwa wa shirikisho huwa anaenda club bingwa moja kwa moja
Bingwa wa Shirikisho hashiriki champions league kama kwenye ligi yao hajashika nafasi ya kumfanya afuzu klabu bingwa
 
Bado Simba ipo sehemu salama. Tanzania itaendelea kuwa na wawakilishi 4.

Timu ambazo zipo juu ya Simba na hazitapata nafasi ya kucheza Club Champions ni Pyramid, Orlando, Etoile na RS Berkane (Kwenye ligi zao hazipo kwenye nafasi mbili za juu).

Hivyo Simba na Yanga zinacheza Champions League. Iwapo Yanga au Simba itatwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho, nafasi ya kucheza Shirikisho watapewa mshindi wa 3 na 4 wa ligi kuu.
 
Bado Simba ipo sehemu salama. Tanzania itaendelea kuwa na wawakilishi 4.

Timu ambazo zipo juu ya Simba na hazitapata nafasi ya kucheza Club Champions ni Pyramid, Orlando, Etoile na RS Berkane (Kwenye ligi zao hazipo kwenye nafasi mbili za juu).

Hivyo Simba na Yanga zinacheza Champions League. Iwapo Yanga au Simba itatwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho, nafasi ya kucheza Shirikisho watapewa mshindi wa 3 na 4 wa ligi kuu.
nafasi nne ni salama muda mrefu sana confirmed nazungumzia kuhusu the ALMIGHTY SIMBA kuanzia round ya awali na vilaza, tuombee hao watunisia wateleze huko ligi yao maana tayari Berkane, pirates na pyramids kwenye ligi zao hawana slot ya champions league
 
Kwanini nafasi ya 13 haipo badala wameruka hadi 14? Je ikitokea timu zinalingana point ni kitu gani cha ziada wanachoangalia ili kumpa timu advantage ya kuwa juu ya mwenzie?
Aiseee umenifanya nimengalia vizuri labda kutakuwa na loophole hapo naona nafasi ya 12 kuna teams zimefungana hapo
 
Hata nafasi ya 14 zimefungana timu mbili Simba na Setif
ikija kufanya hayo maamuzi ya teams 10 za round ya awali itakuwaje? labda kwa setif tutatoboa maana sahel na horoya kama sikosei hii miaka 5 wana nusu fainali walizoingia
 
Nakujibuje nimetafakari nikujibu namna gani nimeona ninyamaze umeelewa huu uzi unahusu nini? hapa tunaongea vitu serious siyo jitu linatoka huko linawadanganya tunachukua ubingwa na kuanzia round ya kwanza ...embu nyamaza kwanza wakubwa tuongee hapa angalau kidogo namungo watie neno wakiwa na Raon, Gor mahia na Kcca
Yani nimeshindwa kumshangaa kabisa jamaa haya matimu isifikie hatua yakatutoa akili zetu zakawaida za kuchanganua mambo.
 
Back
Top Bottom