Sasa hapo ndo atazidishaa..!! Ukweli mchunguu... Dogo janja awew.mpolee tuu hakuna cha sunaa wala nin apambane na jimama lakeeKwani na Yeye alipofuatwa fuatwa na Soud Brown ilikuwa private? Soud Brown kamuumbua na Yeye Dogo Janja nae kamaliza kabisa shughuli hivyo sasa ngoma ' droo ' na labda Soud Brown atabadilika na akili itamkaa sawa.
Mambo hadharani[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
Hicho kipindi anachofanya Sudi ilitakiwa kufanywa na wanawake, ila sawa anawawakilisha wanaume wa Dar
Mkuu akili zikiwarudia watajutia haya mambo..,Bwana harusi ameshindwa kujizuia.
Ila aendelee tu hakuna namnaOf course Mkuu, mask haina kazi tena
Yes true, mimi sioni tatizo naye kabisa maana ni entertainment business anafanya na kipindi chake ni Gossips wazi tu sio kwamba anamteta mtu kwa siri. unaweza kuwa mbea lakini usijue kufikisha umbea ila jamaa anafikisha in funny way. mimi sioni kama kuna tatizo its all about entertainment business.Soudy huwa ananifurahisha sana, binafsi nampenda sana...
Wote wamekosa la kufanya. Hamna sababu ya kubishana mitandaoni ,wao ni mwanaume bwana...kwani wakikaa kimya kinapungua nini
Mi nawashangaa hata wanaichukiaga umbea wa soudy, mi naonaga kama anachekesha tuYes true, mimi sioni tatizo naye kabisa maana ni entertainment business anafanya na kipindi chake ni Gossips wazi tu sio kwamba anamteta mtu kwa siri. unaweza kuwa mbea lakini usijue kufikisha umbea ila jamaa anafikisha in funny way. mimi sioni kama kuna tatizo its all about entertainment business.
Yes true, mimi sioni tatizo naye kabisa maana ni entertainment business anafanya na kipindi chake ni Gossips wazi tu sio kwamba anamteta mtu kwa siri. unaweza kuwa mbea lakini usijue kufikisha umbea ila jamaa anafikisha in funny way. mimi sioni kama kuna tatizo its all about entertainment business.
yes kile ni kipaji maana lazima utacheka tu na ile kuvaa mimi naona kama ni brand yake tu haiwezekani kuwa watu hawamjui.Mi nawashangaa hata wanaichukiaga umbea wa soudy, mi naonaga kama anachekesha tu
Raisi wetu ha ha haHamna mmbea asiyempenda soudy[emoji28][emoji28]
Yeah ile ni brand tu, sura yake mbona inajulikanayes kile ni kipaji maana lazima utacheka tu na ile kuvaa mimi naona kama ni brand yake tu haiwezekani kuwa watu hawamjui.
Raisi wetu ha ha ha
Soudy anafurahisha, afu hata akitolewa povu ye huwa yupo kawaida, kuna siku mbasha alitoka povu anamind akamuuliza soudy unanufatilia sana hauna dada yako nimuoe, soudy akajibu sina nna mdogo wangu nlicheka mie yani mbasha yuko moto soudy walaaa
Soudy yupo kama warumiHahaha soudy anaipenda kazi yake wallahi, yupo radhi aifanye hata buree, umbea upo damuni.