johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naibu Spika mh Zungu baada ya kutuletea Tozo tutafutie na Dawa ya kudhibiti Wezi wa Tozo hizo kama alivyobainisha CAG.
Naona Tozo sasa ni sawa na Kunguru wa Zanzibar.
Ramadan kareem!
Naona Tozo sasa ni sawa na Kunguru wa Zanzibar.
Ramadan kareem!