Badala ya kununua Toyota Harrier nunua hii gari

Badala ya kununua Toyota Harrier nunua hii gari

Mbona kawaida tu, likisha kukuta janga kama hilo bora uende cmc ukafanye diagnosis halafu ndio ujue kama unanunua spare mwenyewe ukazifunge mtaani au unaliuza🤣

View attachment 2053067

Kwenda kufanya Diagnosis CMC umetaka mwenyewe.

Majibu utakayopata ni yale yale.

Shida ni watu anataka aendeshe gari mpaka izime.
 
Kwenda kufanya Diagnosis CMC umetaka mwenyewe.

Majibu utakayopata ni yale yale.

Shida ni watu anataka aendeshe gari mpaka izime.
Ni bora ufanye diagnosis CMC update fault zote na ujue gharama ya genuine parts ukitoka hapo ndio uende mwenyewe ukatafute spare parts used mtandaoni au uachane na gari.

Shida inaanza mtu anaponunua Range Rover mfano kwa 5000 usd na kufikiria bei ya spare itaendana na bei aliyonunulia bila kujua spare inaendana na bei original ya gari 95,000 USD kwenda juu na hakuna spare za janja janja kama gari za mjapan...kuna jamaa hapa alinunua used Range Rover US uzuri ilikuwa na warranty...matatizo aliyoyapata alilipiwa zaidi ya 15,000 USD.
 
Ni bora ufanye diagnosis CMC update fault zote na ujue gharama ya genuine parts ukitoka hapo ndio uende mwenyewe ukatafute spare parts used mtandaoni au uachane na gari.

Shida inaanza mtu anaponunua Range Rover mfano kwa 5000 usd na kufikiria bei ya spare itaendana na bei aliyonunulia bila kujua spare inaendana na bei original ya gari 95,000 USD kwenda juu na hakuna spare za janja janja kama gari za mjapan...kuna jamaa hapa alinunua used Range Rover US uzuri ilikuwa na warranty...matatizo aliyoyapata alilipiwa zaidi ya 15,000 USD.


Logic ya Kwenda CMC ni nini?

Kwamba kama secondary air injection pump imezingua ukipima CMC na ukaenda kupima sehemu nyingine kutakuwa na utofauti wa majibu?
 
Usiache kupitia huu uzi mtoa mada

Nmeupitia lakini naona kama sio sahihi baadhi ya vitu
 
Logic ya Kwenda CMC ni nini?

Kwamba kama secondary air injection pump imezingua ukipima CMC na ukaenda kupima sehemu nyingine kutakuwa na utofauti wa majibu?
Kama una multiple problems, huna uzoefu na hilo gari , hujui wapi pa kupata fundi sahihi anayeweza kufanya correct diagnosis, na wewe mwenyewe huna technical know how ni rahisi sana kupata majibu yasiyo sahihi na kwenda kununua spare ambazo ni useless...kama unauzoefu na gari unaweza kuwa na scanner yako mwenyewe ukafanya diagnosis na vitu kama vya umeme ukiwa na toolbox yako unaweza ukabadilisha mwenyewe at 0 cost.

Kuna watu wamelizwa kwa hizi gari za mzungu kwa diagnosis za kubahatisha, unatoa 400 usd au euros unaweka kitu halafu bado kinazingua unarudi tena unaweka 250 usd ndio ikubali au ibume na spare kuagiza minimum ni siku 3 mpaka uipate, hizo sio gari za kubahatisha na kama ukinunua wrong part sometimes kuiuza ni shughuli.

Ninaongea from experience na hizo gari. Kuna jamaa alinunua SAM ya Mercedes ML W164 kwa 360$ kumbe tatizo ni EIS ambayo ni 200- 250$ mafundi wengi wanabahatisha na kama hajui hakatai kazi na unaweza kuingia hasara kama haujui wapi kwa kuanzia...sio kama Toyota chochote utakachonunua kama kimekosewa unakiuza siku hiyo hiyo hata kwa kumuachia fundi.
 
Kama una multiple problems, huna uzoefu na hilo gari , hujui wapi pa kupata fundi sahihi anayeweza kufanya correct diagnosis, na wewe mwenyewe huna technical know how ni rahisi sana kupata majibu yasiyo sahihi na kwenda kununua spare ambazo ni useless...kama unauzoefu na gari unaweza kuwa na scanner yako mwenyewe ukafanya diagnosis na vitu kama vya umeme ukiwa na toolbox yako unaweza ukabadilisha mwenyewe at 0 cost.

Kuna watu wamelizwa kwa hizi gari za mzungu kwa diagnosis za kubahatisha, unatoa 400 usd au euros unaweka kitu halafu bado kinazingua unarudi tena unaweka 250 usd ndio ikubali au ibume na spare kuagiza minimum ni siku 3 mpaka uipate, hizo sio gari za kubahatisha na kama ukinunua wrong part sometimes kuiuza ni shughuli.

Ninaongea from experience na hizo gari. Kuna jamaa alinunua SAM ya Mercedes ML W164 kwa 360$ kumbe tatizo ni EIS ambayo ni 200- 250$ mafundi wengi wanabahatisha na kama hajui hakatai kazi na unaweza kuingia hasara kama haujui wapi kwa kuanzia...sio kama Toyota chochote utakachonunua kama kimekosewa unakiuza siku hiyo hiyo hata kwa kumuachia fundi.

Okay hata mimi labda niongee from Experience....

Outside kuna watu wengi tu wanafanya diagnosis vizuri kabisa.... Inategemea tu wewe umekutana na nani?


Mfano mdogo tu look at these pictures.

Screenshot_2021-12-22-13-46-19-617_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-12-22-13-46-33-471_com.us.thinkdiag.plus.jpg



Hizo codes zipo 15 na zote zinaihusu engine.

Ukisummarize unapata vitu kama 11 hivi ambavyo kwa harakaharaka mtu mwingine akipima atakuambia you need to buy all those 11 things.

Na siyo kwamba hizo codes ni history, hapana, sababu ilikuwa ukizifuta zinatoka zote ila ukiendesha gari baada ya muda mfupi zinarudi zote.

Sasa baada ya kuja kufatilia hizo code zote zilikuwa zinasababishwa na 👇👇👇

View attachment IMG_20210930_112629.jpg


Na some shorts ndani ya Control box.

After sorting out hayo code pekee iliyobaki ni hiyo ya thermostat, na ilikuwa ni ya kununua nyingine.
 
Back
Top Bottom