MBOKA NA NGAI JF-Expert Member Joined Jan 31, 2025 Posts 350 Reaction score 576 Feb 24, 2025 #1 Pichani, ni maandalizi ya jeshi la Polisi nchini Rwanda,mpakani mwa Rwanda na DRC. Eneo hili ndo watapitabadhi ya wanajeshi wa Afrika Kusini, na kupekuliwa, ili waendelee na safari yao,kuelekea uwanja wa ndege wa Kanombe huko Kigali.
Pichani, ni maandalizi ya jeshi la Polisi nchini Rwanda,mpakani mwa Rwanda na DRC. Eneo hili ndo watapitabadhi ya wanajeshi wa Afrika Kusini, na kupekuliwa, ili waendelee na safari yao,kuelekea uwanja wa ndege wa Kanombe huko Kigali.
K Kama ipo ipo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,119 Reaction score 1,728 Feb 24, 2025 #2 Hao wajawazito wapime DNA ili kama wamebeba TZ blood or otherwise.