Mahitaji
Unga wa dengu 1 cup
Kitunguu maji 1/4...kata ndongo ndogo
Pilipili kijiko 1 cha chai..
Hamira 1 tea spoon.au baking powder
Pilipili mboga 1/4...kata ndogo ndogo
Chumvi kiasi
Curry powder 1tea spoon
Maji 1/2 kikombe
Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
Changanya unga wa dengu na kitunguu maji
Weka pipilipili mboga,pilipili ya kuwasha,chumvi,curry powder
Mimina maji kidogo kidogo huku wachanganya mchanganyiko wako kwa mikono safi
Ukimaliza weka sehemu ya joto kwa dakika 30
Weka mafuta kwenye karai na choma badia zako hadi ziwe brown..
Chatne
Nazi 1/2
Pilipili ya kuwasha
Chumvi kiasi
Ndimu/ limao
Namna ya kutaarisha
Kuna nazi yako
Weka pilipili,chumvi na maji kidogo saga kwa blender hadi iwe laini
Weka kwenye bakuli tia ndimu/limau.
Badia na chatne tayari kwa kuliwa
Unga wa dengu 1 cup
Kitunguu maji 1/4...kata ndongo ndogo
Pilipili kijiko 1 cha chai..
Hamira 1 tea spoon.au baking powder
Pilipili mboga 1/4...kata ndogo ndogo
Chumvi kiasi
Curry powder 1tea spoon
Maji 1/2 kikombe
Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
Changanya unga wa dengu na kitunguu maji
Weka pipilipili mboga,pilipili ya kuwasha,chumvi,curry powder
Mimina maji kidogo kidogo huku wachanganya mchanganyiko wako kwa mikono safi
Ukimaliza weka sehemu ya joto kwa dakika 30
Weka mafuta kwenye karai na choma badia zako hadi ziwe brown..
Chatne
Nazi 1/2
Pilipili ya kuwasha
Chumvi kiasi
Ndimu/ limao
Namna ya kutaarisha
Kuna nazi yako
Weka pilipili,chumvi na maji kidogo saga kwa blender hadi iwe laini
Weka kwenye bakuli tia ndimu/limau.
Badia na chatne tayari kwa kuliwa