Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Mkuu mshana kama hutojali tunaomba pia utufafanulie kidogo kuhusu hiyo miiko ya BMW

Sent using Jamii Forums mobile app
Miiko yake haitofautiani sana na ya magari ama mashine nyingine
. Epuka kuwa na watumiaji wengi tofauti.. I mean madereva
. Epuka kumpa dereva asiye mzoefu
. zingatia service
. Tumia vimiminika halisi
. Tumia vifaa halisi
. Makinika na warning lights kwenye display ya dashboard
Epuka rough riding etc

Jr[emoji769]
 
Miiko yake haitofautiani sana na ya magari ama mashine nyingine
. Epuka kuwa na watumiaji wengi tofauti.. I mean madereva
. Epuka kumpa dereva asiye mzoefu
. zingatia service
. Tumia vimiminika halisi
. Tumia vifaa halisi
. Makinika na warning lights kwenye display ya dashboard
Epuka rough riding etc

Jr[emoji769]
Mkuu nimefatilia ipasavyo majadiliano haya!

Chief katika maisha kila MTU hujikuna mkono unapoishia, naomba uzungumzie kwa undani zaidi Nissan extrail

Mkono Wangu, sikio LANGU, nafsi yangu imelalia hapo! Karibu Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimefatilia ipasavyo majadiliano haya!

Chief katika maisha kila MTU hujikuna mkono unapoishia, naomba uzungumzie kwa undani zaidi Nissan extrail

Mkono Wangu, sikio LANGU, nafsi yangu imelalia hapo! Karibu Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauri sana kuhusu hizo gari ni nyanya na spare ni gharama, pia zinakuwa na shida ya gearbox na AC na zina fuel consumption ya juu kidogo... N gari zinazohitaji ile slogan ya handle with care...

NB: nimeandika kwa muktadha wa uzoefu wangu

Jr[emoji769]
 
Nachokiona mbele yangu mitaa ya huku nilipo
IMG_20180827_190427.jpg
IMG_20180827_190430.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafundi wengi Tanzania ni magumashi!njaa tu .Fundi wa kweli awezi tumia lisaa limoja kama ana computer kujua tatizo.gari lina Computer system inaitwa Electronic Control Unity amabyo nayo ina software kama vile computer.Tatizo unaweza kuta hao mafundi wana diagnostic kit yenye let say bmw za mwaka 2002 mpaka na 2005 wakati BMW wanayotakiwa waicheck tatizo ni ya 2006! Hapa hizo computer zao azitoona tatizo.pia mafundi wengi hapa Tanzania awataki kujisomea wao ni try and erro.
Kwa sasa unaingi E bay unaweka part no.unalipia kwa Pay pal baada ya siku tatu DHL wanakugongea mlango spea zimeshafika.Mimi na X3 na wala sikosi usingizi wa kuwaza spea sijui nini.Watanzania walio wengi ni maji kufanta mkondo awajiongezi! Wananunua magari kufuata maongezi ya vijiweni,matokeo yake wanakuwa waoga ktk kubadilika
Very informative,thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikushauri sana kuhusu hizo gari ni nyanya na spare ni gharama, pia zinakuwa na shida ya gearbox na AC na zina fuel consumption ya juu kidogo... N gari zinazohitaji ile slogan ya handle with care...

NB: nimeandika kwa muktadha wa uzoefu wangu

Jr[emoji769]
Nimekusoma kwa umaridadi chief! Sasa ngoja nirejee kwenye Toyota[emoji91] nashukuru kwa ushauri wako! Hakika sitoupuuza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaagiza mizigo toka ulaya inakuja leo spare toka Dar au Nairobi kweli? Binafsi nilisha miliki Corolla,Carina,Rav4 na Starlet.lakini katika maisha yangu kwa uwezo wa MUNGU nahitaji kua na BMW pia,hata kama spare ntakua nazitoa Cambodia potelea kote.kuna mtu jamaa yangu ana Dodge Ram na inatembea na kutengenezwa pindi ikileta shida afu BMW ndo ishindikane ilihali wanazo watu wengi tu.huku ni kutishana tu
Sio kutishana ni KUOGOFYISHANA, ukweli ni kwamba wenye nazo wamekuwa hawapati spears genuine au mafundi Wetu ni WALEEEEEEE WAKUFUNGUA ENGINE YOTE ALAFU WAKATI WANARUDISHIA WANAJIKUTA WANA NUTS ZIMEBAKIA MKONONI HAZINA PA KUFUNGA WAKATI WAMEFUNGUA hapohapo kwenye injini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jirani yangu ana bmw wiki ya 3 sasa lipo ndani mfumo wake wa umeme umeleta shida gari haiwaki,vioo havifunguki,sterring imejiloki.

Wameshakuja mafundi zaidi ya 7 wamefungua kila wanapojua na computer zao wameshindwa.
aache kuokota mafundi wa mtaani.... tatizo tunapenda vizuri af tunabania kutoa hela...

Sent from my VKY-L29 using Jamii Forums mobile app
 
Miiko yake haitofautiani sana na ya magari ama mashine nyingine
. Epuka kuwa na watumiaji wengi tofauti.. I mean madereva
. Epuka kumpa dereva asiye mzoefu
. zingatia service
. Tumia vimiminika halisi
. Tumia vifaa halisi
. Makinika na warning lights kwenye display ya dashboard
Epuka rough riding etc

Jr[emoji769]
Chief Mshana Jr shukrani kwa motisha uliyonipa ya kuisogelea BMW. Niliweka Nia ya maana na nikaifanyia kazi. For sure wabongo tumezoea kujazana woga tu mwisho wa siku wote tunajikuta tuna magari yamefanana Kama quarters za polisi, hata likiibiwa hujui lako no lipi.

Mi baada ya kufatilia uzi wako nikajaa ujasiri nikauza GDI, nikauza premio na kuongezea hell kidogo now nimekamata mnyama wa ajabu BMW M-Sport imefika point najiona sitanunua gari tena jinsi imeuridhisha moyo wangu.

Mshana salute kiongozi
IMG_20180829_105913.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief Mshana Jr shukrani kwa motisha uliyonipa ya kuisogelea BMW. Niliweka Nia ya maana na nikaifanyia kazi. For sure wabongo tumezoea kujazana woga tu mwisho wa siku wote tunajikuta tuna magari yamefanana Kama quarters za polisi, hata likiibiwa hujui lako no lipi.

Mi baada ya kufatilia uzi wako nikajaa ujasiri nikauza GDI, nikauza premio na kuongezea hell kidogo now nimekamata mnyama wa ajabu BMW M-Sport imefika point najiona sitanunua gari tena jinsi imeuridhisha moyo wangu.

Mshana salute kiongoziView attachment 853280

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikiliza ukatafajari ukaamua, ukathubutu kujaribu na sasa hujuti... [emoji115][emoji115][emoji115][emoji120][emoji120][emoji106][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]

Jr[emoji769]
 
View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida
Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa ujutie pesa yako
Kama una uwezo wa kununua Brevis, Nissan Fuga au Klugger... Magari ya kijapan yenye engine kubwa na matumizi makubwa ya mafuta... Hakika HUWEZI kushindwa kununua BMW ya kawaida lakini yenye viwango sawa na hizo gari hapo juu.. Huku ukifurahia ulaji mdogo wa mafuta... Mfumo wa BMW uko tofauti sana... Umejengwa kwenye mfumo wa kuokoa ulaji wa mafuta huku nguvu ya mashine ikiwa ni ileile

Gari nyingi za kijapan hazina body ngumu tofauti kabisa na huyu mnyama BMW... Yani hata unapokaa kwenye seat unahisi kabisa umekaa kwenye mashine ya ukweli... Na ni aghalabu kukuta BMW imepinduka kichwa chini mijuu guu

Hizo magari hapo juu nazo spare zake ni ngumu na ghali kupatikana kama BMW tuu... Tena sometimes unaweza kuipata ya mnyama kirahisi zaidi kuliko hizo nyingine
Kingine ni kwamba BMW wana variety of different styles na kila style ni bakora tofauti na hizi nyingine.... Ukikuta mabrevis yote yanafanana

Badili mtazamo wako BMW ni gari ngumu nzuri na sio ghali kama unavyodhani.. Kuwa tofauti... Miliki mnyama... Pichani hapo juu ni 320td fuel consumption ni km 15 kwa Lita sawasawa na duet tuu... Lakini mkiwa rodini mnyama atatamba
Analysis yako iko based on people hear said, social prestige na popularity, umeshau kuchambua upande wa economic, financial, mechanical and political
 
Analysis yako iko based on people hear said, social prestige na popularity, umeshau kuchambua upande wa economic, financial, mechanical and political
Unisaidie but you are totally wrong pal... I don't see any hear says in my post... Only facts
 
Ndugu mbadili mawazo, mbeleni kidogo tu nitahitaji family car yenye umbo/mwonekano kama wa Alphard. Vipi Bmw wanatoleo la hivyo? bei isizidi Milioni 14.
 
Ndugu mbadili mawazo, mbeleni kidogo tu nitahitaji family car yenye umbo/mwonekano kama wa Alphard. Vipi Bmw wanatoleo la hivyo? bei isizidi Milioni 14.
Mmh BMW zipo model za X6, X5 SUV, Model unayotaka zipo Benz
 
1. BMW hawana shape ya Noah/Alphard.
2. Mbadara wake uchukue X series ambazo ni SUV/SAV.
3. Au chukua wagons za 3 series.
4. Kwa mil 14 kupata BMW ni changamoto. Litakua used hapa Tanzania au bovu.

Nunua tu Alphard ni van nzuri sana.
Ndugu mbadili mawazo, mbeleni kidogo tu nitahitaji family car yenye umbo/mwonekano kama wa Alphard. Vipi Bmw wanatoleo la hivyo? bei isizidi Milioni 14.
 
Back
Top Bottom