Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

kitu hicho!!!
Yani kila siku napishana nacho huku Bavaria
IMG_20180823_192443.jpg
IMG_20180823_192416.jpg
IMG_20180823_192423.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20180823_192443.jpg
    IMG_20180823_192443.jpg
    61.1 KB · Views: 74
Sio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
Huyu mlozi kazoea kusafiri kwa ungo hana BMW anatuzuga
 
View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida
Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa ujutie pesa yako
Kama una uwezo wa kununua Brevis, Nissan Fuga au Klugger... Magari ya kijapan yenye engine kubwa na matumizi makubwa ya mafuta... Hakika HUWEZI kushindwa kununua BMW ya kawaida lakini yenye viwango sawa na hizo gari hapo juu.. Huku ukifurahia ulaji mdogo wa mafuta... Mfumo wa BMW uko tofauti sana... Umejengwa kwenye mfumo wa kuokoa ulaji wa mafuta huku nguvu ya mashine ikiwa ni ileile

Gari nyingi za kijapan hazina body ngumu tofauti kabisa na huyu mnyama BMW... Yani hata unapokaa kwenye seat unahisi kabisa umekaa kwenye mashine ya ukweli... Na ni aghalabu kukuta BMW imepinduka kichwa chini mijuu guu

Hizo magari hapo juu nazo spare zake ni ngumu na ghali kupatikana kama BMW tuu... Tena sometimes unaweza kuipata ya mnyama kirahisi zaidi kuliko hizo nyingine
Kingine ni kwamba BMW wana variety of different styles na kila style ni bakora tofauti na hizi nyingine.... Ukikuta mabrevis yote yanafanana

Badili mtazamo wako BMW ni gari ngumu nzuri na sio ghali kama unavyodhani.. Kuwa tofauti... Miliki mnyama... Pichani hapo juu ni 320td fuel consumption ni km 15 kwa Lita sawasawa na duet tuu... Lakini mkiwa rodini mnyama atatamba

Cha msingi ni mtu afanye kile nafsi yake inamtuma, maswala ya mob psychology yametuafect sana wabongo.
 
Back
Top Bottom