Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
kitu hicho!!!Hiyo Audi TT ni shida View attachment 833248
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu hicho!!!Hiyo Audi TT ni shida View attachment 833248
nazikubali sana aisee...Yani kila siku napishana nacho huku BavariaView attachment 845508View attachment 845511View attachment 845512
Sent using Jamii Forums mobile app
mtumishi umeanza kunywa taptap lini[emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo na baridi ya balimi sana bei ni buku tu
mkuu mimi huwa nakuelewa sana, but nimechombeza tu kukupa taarifa kuwa nimesoma post yako[emoji28]Soma tena utaelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Huyu mlozi kazoea kusafiri kwa ungo hana BMW anatuzugaSio kutishwa na huo ndo ukweli na mimi mwenyewe ni shuhuda!kuna jamaa namfahamu alikuwa na hyo BMW 320 series iligongwa upande mmoja,taa kubwa ya mbele pamoja na side mirror zikavunjika!Alizunguka jiji zima hela anayo spea akakosa ikabidi gari ipaki mpaka spea ilipopatikana kwa kuagiza toka nje na kwa gharama kubwa!!sasa nambie ingekuwa ni toyota angehangaika kiasi hicho?!chukulia angekuwa na brevis,mark 2 au any toyota brand ambayo ni common in TZ angehangaika?!Ukweli ni kwamba unapoamua kununua gari kwa bongo tofauti toyota hakikisha una connection nzuri ya kupata spea mara itakapohitajika,pia uwe na pesa ya kutosha coz haitakuwa cheap km unavodhani!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu mimi huwa nakuelewa sana, but nimechombeza tu kukupa taarifa kuwa nimesoma post yako[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikikushinda nunua lingine au uza kama chuma chakavuHuyu mlozi kazoea kusafiri kwa ungo hana BMW anatuzuga
Ingependeza uka shusha uzi kabisa Kuna zile SUV, Ile Honda CR - V, Class - ZX, zinanivutia sanaRD4 Honda ni nzuri sana
Jr[emoji769]
Mtani naomba uzungumzie kwa undani Honda CR - V (RE3,RE4)RD4 Honda ni nzuri sana
Jr[emoji769]
Natanguliza ShukraniPoa ngoja nijipange
Jr[emoji769]
Mkuu mshana kama hutojali tunaomba pia utufafanulie kidogo kuhusu hiyo miiko ya BMWUkizingatia miiko yake hutajuta kamwe
View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida
Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa ujutie pesa yako
Kama una uwezo wa kununua Brevis, Nissan Fuga au Klugger... Magari ya kijapan yenye engine kubwa na matumizi makubwa ya mafuta... Hakika HUWEZI kushindwa kununua BMW ya kawaida lakini yenye viwango sawa na hizo gari hapo juu.. Huku ukifurahia ulaji mdogo wa mafuta... Mfumo wa BMW uko tofauti sana... Umejengwa kwenye mfumo wa kuokoa ulaji wa mafuta huku nguvu ya mashine ikiwa ni ileile
Gari nyingi za kijapan hazina body ngumu tofauti kabisa na huyu mnyama BMW... Yani hata unapokaa kwenye seat unahisi kabisa umekaa kwenye mashine ya ukweli... Na ni aghalabu kukuta BMW imepinduka kichwa chini mijuu guu
Hizo magari hapo juu nazo spare zake ni ngumu na ghali kupatikana kama BMW tuu... Tena sometimes unaweza kuipata ya mnyama kirahisi zaidi kuliko hizo nyingine
Kingine ni kwamba BMW wana variety of different styles na kila style ni bakora tofauti na hizi nyingine.... Ukikuta mabrevis yote yanafanana
Badili mtazamo wako BMW ni gari ngumu nzuri na sio ghali kama unavyodhani.. Kuwa tofauti... Miliki mnyama... Pichani hapo juu ni 320td fuel consumption ni km 15 kwa Lita sawasawa na duet tuu... Lakini mkiwa rodini mnyama atatamba