Bado CHADEMA inatawala medani za siasa Tanganyika

Bado CHADEMA inatawala medani za siasa Tanganyika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Hatukupoa, hatupoi na moto ni uleule
Hakuna nguvu yoyote kubwa inayotumika.. Ni asili imeamua kuchukua mkondo wake.. Imagine hata makada maarufu wa mbogamboga wametekwa bila hiari na CHADEMA.. Kutwa kucha ni CHADEMA midomoni na akilini mwao

CCM ni kama kama mgonjwa aliye chumba cha mahututi kisha akasuswa ama kusahauliwa na ndugu zake! Hata akipata nafuu na pengine kupona bado ile hali ya kususwa haitakoma

Wachache kina Chalamila badala ya kumsaidia mgonjwa walau azinduke wao ndio kwanza wanazidi kumu overdose na majibu yao ya kifedhuli kwa jamii.. Huku wengine wakiandamana kuunga mkono tamko lililovunja katiba la kugombea urais

Hivi ni nini na ni kipi kwasasa kitaitoa CCM ICU? Ama tuandae tu msiba?

Je tutasafirisha ama tutazika hapa hapa?
Ama tuitie kwenye lichupa kubwa kufunge vizuri na kwenda kulitupa baharini kwenye kina kirefu!?😂

Good morning Tanganyika📌🔨
 
Hatukupoa, hatupoi na moto ni uleule
Hakuna nguvu yoyote kubwa inayotumika.. Ni asili imeamua kuchukua mkondo wake.. Imagine hata makada maarufu wa mbogamboga wametekwa bila hiari na CHADEMA.. Kutwa kucha ni CHADEMA midomoni na akilini mwao
CCM ni kama kama mgonjwa aliye chumba cha mahututi kisha akasuswa ama kusahauliwa na ndugu zake! Hata akipata nafuu na pengine kupona bado ile hali ya kususwa haitakoma

Wachache kina Chalamila badala ya kumsaidia mgonjwa walau azinduke wao ndio kwanza wanazidi kumu overdose na majibu yao ya kifedhuli kwa jamii.. Huku wengine wakiandamana kuunga mkono tamko lililovunja katiba la kugombea urais

Hivi ni nini na ni kipi kwasasa kitaitoa CCM ICU? Ama tuandae tu msiba?
Je tutasafirisha ama tutazika hapa hapa?
Ama tuitie kwenye lichupa kubwa kufunge vizuri na kwenda kulitupa baharini kwenye kina kirefu!?😂

Good morning Tanganyika📌🔨
Mbona kumepoa sana.
 
Ni kweli kabisa Lissu analala ikulu ya magogoni analindwa na wanausalama anatoa amri nchi nzima kwanini kwa upeo wako usione hawapoi!
 
Ki ukweli kabisa wengi wapi ccm kwa ajili ya kulinda maslahi Yao siku ccm ianguke ndio utajua rangi halisi za watanzania
 
Ki ukweli kabisa wengi wapi ccm kwa ajili ya kulinda maslahi Yao siku ccm ianguke ndio utajua rangi halisi za watanzania
 

Attachments

  • 5941542-128f28144764987ee2bf3cd653521c1.mp4
    23.8 MB
Hatukupoa, hatupoi na moto ni uleule
Hakuna nguvu yoyote kubwa inayotumika.. Ni asili imeamua kuchukua mkondo wake.. Imagine hata makada maarufu wa mbogamboga wametekwa bila hiari na CHADEMA.. Kutwa kucha ni CHADEMA midomoni na akilini mwao

CCM ni kama kama mgonjwa aliye chumba cha mahututi kisha akasuswa ama kusahauliwa na ndugu zake! Hata akipata nafuu na pengine kupona bado ile hali ya kususwa haitakoma

Wachache kina Chalamila badala ya kumsaidia mgonjwa walau azinduke wao ndio kwanza wanazidi kumu overdose na majibu yao ya kifedhuli kwa jamii.. Huku wengine wakiandamana kuunga mkono tamko lililovunja katiba la kugombea urais

Hivi ni nini na ni kipi kwasasa kitaitoa CCM ICU? Ama tuandae tu msiba?

Je tutasafirisha ama tutazika hapa hapa?
Ama tuitie kwenye lichupa kubwa kufunge vizuri na kwenda kulitupa baharini kwenye kina kirefu!?😂

Good morning Tanganyika📌🔨
Polisi wameharibu Mkutano wa Nishati kwa kuvamia Chadema.

Sasa hivi habari kuu ni Mkutano wa Mnyika kuzuiliwa kikatiri
 
Hatukupoa, hatupoi na moto ni uleule
Hakuna nguvu yoyote kubwa inayotumika.. Ni asili imeamua kuchukua mkondo wake.. Imagine hata makada maarufu wa mbogamboga wametekwa bila hiari na CHADEMA.. Kutwa kucha ni CHADEMA midomoni na akilini mwao

CCM ni kama kama mgonjwa aliye chumba cha mahututi kisha akasuswa ama kusahauliwa na ndugu zake! Hata akipata nafuu na pengine kupona bado ile hali ya kususwa haitakoma

Wachache kina Chalamila badala ya kumsaidia mgonjwa walau azinduke wao ndio kwanza wanazidi kumu overdose na majibu yao ya kifedhuli kwa jamii.. Huku wengine wakiandamana kuunga mkono tamko lililovunja katiba la kugombea urais

Hivi ni nini na ni kipi kwasasa kitaitoa CCM ICU? Ama tuandae tu msiba?

Je tutasafirisha ama tutazika hapa hapa?
Ama tuitie kwenye lichupa kubwa kufunge vizuri na kwenda kulitupa baharini kwenye kina kirefu!?😂

Good morning Tanganyika📌🔨
Huo ni ulevi km ulevi mwingine
 
Back
Top Bottom