Bado kuna mambo yanahitajika ili kumuenzi kwa dhati hayati Magufuli na wazalendo wengine

Mzalendo wa sasa hiviπŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Mkapa kafanya lipi la maana? Kujiuzia migodi ya dhahabu na kubinafsisha kila kitu?
Akili ya dudumizi haiwezi ikajua mambo ya uchumi. Yawezekana wewe umezaliwa after 1995 ndiyo maana hujui Benjamin William Mkapa alifanya nini kwa nchi hii
 
wewe juha hakuna anayetaka kumkumbuka yule shetani wako, eti alijitoa kwa ajili ya nchi, yule alikuwa tapeli, mbaguzi, katili, muuaji, mtesaji wa watanzania, mshamba. Hatutaki kumkumbuka kwa lolote mkumbuke we na mke wako. Hakuna jambo la maana alilokamilisha. Akija rais jasiri hata miradi yote yaliyoitwa kwa jina lake, atafuta majina yake hana tofauti na Mobutu Sese Seko wa Zaire.
 
we zuzu kweli, labda km alijitoa kwa ajili ya mamako
 
Kwa kweli tunahitaji kumuenzi vizuri zaidi ya sasa. Huyu Mzee alikuwa ni Rais hasa. Sasa ndio tunajionea mazuri yake.
 
Basi hii kesi tuipeleke kwa wakili msomi TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU ili tuone namna ambavyo angependa dikteta wako aenziwe.
Lisu ashasema kwamba raisi Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli ndio maana hakuwahi kusaini mikataba mibovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…