Bado Makamu wa Rais Philip Mpango yuko ofisini?

Bado Makamu wa Rais Philip Mpango yuko ofisini?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto aliekuwa katibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Sseseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
 
Umemaliza kazi, asante sana tena sana. Mama Rais Samia toka ofisini maana hawa wezi wamekushinda kiukweli mpango huwezi kumfukuza maana.
 
Acheni Watu wachape Kazi
JamiiForums-1339767228_720x687.jpg
 
Halafu anavyojifanya mtu wa dini na ka sauti ka upole, Sasa hizo Hela si apeleke kigoma?

Ataondoka katika nafasi yake akiiacha kigoma masikini ya kutupwa.

Ila wapigaji wote korona iliwasokota, Mpango aliyoka na drip mkononi huku analia mbele ya waandishi wa habari.
 
Hadithi za abunuwas hizi🤣🤣 mpango akifanya usemayo Basi atakuwa Mkatoliki kwerikweri🤣Tena mfia dini 🤣🤣
 
Kama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Waziri wa fedha wakati wa Magufuli alikuwa ni picha tu katika kusimamia matumizi. Mtu aliyekuwa na nguvu ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hazina Bwana Dotto James.

Dutto James ambaye ni mtoto wa dada wa Magufuli alikuwa na nguvu kuliko waziri. Hata Dr Philip Mpango alikuwa anajuwa nguvu za Dotto James. Muacheni Mpango achape kazi
 
Kama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Ongea kwa utuo ndugu,kwa faida ya watanzania,unaongea kwa kasi kiasi kwamba wengi kama sio wote umetuacha.Tupe wazo ili na wengine tuweze kuwa na mchango wa manufaa kwa taifa letu.
 
Kama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Chuki syndome in operation.
 
Bwashee, hivi huyu jamaa ameshasimamia usafishaji wa ofisi ya makao makuu tangu ile skendo ya uchafu wa kutisha ilipoibuliwa na kukichafua chama? Nauliza swali kwa nia njema tu!
Chadema ichafuke kwa mambo ya kutungwa na vijana dhaifu waliopigwa chini na kukimbiwa na wake zao ?
 
Kama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Acha kuhamisha magoli. Tunafahamu mafisadi wanaolindwa ni fisadi la msoga na vibaraka wake kina january upara, napi, yule msomali, migulu machemba pamoja na huyo bibi yenu mliemweka hapo kama kivuli cha rais
 
Back
Top Bottom