Bado Makamu wa Rais Philip Mpango yuko ofisini?

Bado Makamu wa Rais Philip Mpango yuko ofisini?

Kwanza umeandika ugolo nawashangaa Watu mlivyo wagumu wa kupambanua mambo hv mpango na JPM wanahusika VP kweny vipande ambavyo vimesainiwa wakati wa Samia , suala la kusema Kuna kipengele kweny mkopo ambacho kinasema kampuni Fulani ipewe kandarasi kwann hiyo kampuni waipe Kwa Bei ya juu wakati Bei zinajulikana, kingine kabla ujaipa hiyo kampuni kwann usiangalie mikataba mingine hiyo kampuni ilijenga hiyo reli Kwa shs ngapi 😂😂😂😂 kipande Cha isaka mwanza kilisainiwa wakati wa JPM na hiyo kampuni ilitakiwa ipewe hiyo kandarasi lkn baada ya kuja na Bei ya juu ya trion 2.9 magufuli alikataa ndo akapewa mchina Kwa trion 1.9 Sasa km magufuli yeye alikataa kuipa hiyo kampuni kipande Cha Mwanza Kwa Bei kubwa kwann Samia alikubali kuipa hiyo kampuni hivyo vipande Kwa Bei kubwa ya bil 11 kwa Kila kilomita Moja wezi ni hao waliopo madarakani wakiongozwa na kikwete hawana la kujitetea , tuachane na kampuni ya kituruki tuje kipande Cha Kutoka tabora kwenda kigoma kilomita 506 imepewa kampuni ya kichina inayojenga mwanza isaka Kwa trion 6.2ambapo kilomita Moja wanaijenga Kwa billion 11.3 na hiyo ni wizi mtupu wakati ilitakiwa ijengwe Kwa trion 3.5 kulingana na urefu wake , Sasa Nyie mnaopiga kelele Kwa serikali ya awamu ya Tano nawashangaa , awamu ya Tano imejenga hii reli Kwa Kila kilomita 1 Kwa billion 6.5 Leo mnajenga Kwa bil 11.3 Bado mnalaum JPM badala mkamata Hawa waliopo madarakani na kuwashitaki
 
Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.

Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.

Na sijaelewa Dotto aliekuwa katibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Sseseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.

Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Bila ushahidi,uzi huu hauna umuhimu wowote
 
Mkuu
Tupe usuli zaidi mkuu. Ilikuwaje mpaka akateuliwa VP wwkati CV inanukia ufisadi? Influence ya KIKWETE kutaka kucontrol executive branch ,kwani Mpango ni chura wake toka akiwa kitengo cha uchumi pale Ikulu yeye akiwa rais!
 
Back
Top Bottom