Turudi kwenye ripoti ya CAGBwashee, hivi huyu jamaa ameshasimamia usafishaji wa ofisi ya makao makuu tangu ile skendo ya uchafu wa kutisha ilipoibuliwa na kukichafua chama? Nauliza swali kwa nia njema tu!
Kwani mnapowalaumu hawa wengine huyu Samia mnamuacha wapi?Halafu anavyojifanya mtu wa dini na ka sauti ka upole, Sasa hizo Hela si apeleke kigoma?
Ataondoka katika nafasi yake akiiacha kigoma masikini ya kutupwa.
Ila wapigaji wote korona iliwasokota, Mpango aliyoka na drip mkononi huku analia mbele ya waandishi wa habari.
MkuuKama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.
Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.
Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.
Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Vipi yule Mburigi naye🤔Mimi nauliza bado Samia yupo ofisini?
AiseeWaziri wa fedha wakati wa Magufuli alikuwa ni picha tu katika kusimamia matumizi. Mtu aliyekuwa na nguvu ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hazina Bwana Dotto James.
Dutto James ambaye ni mtoto wa dada wa Magufuli alikuwa na nguvu kuliko waziri. Hata Dr Philip Mpango alikuwa anajuwa nguvu za Dotto James. Muacheni Mpango achape kazi
Ndio nani huyo kwenye hii nchi?Vipi yule Mburigi naye[emoji848]
Kama ilipotea 1.5 trion akafukuzwa CAG? Unauliza ili kiwe nn? Wakati ule uliuliza mkuu?Mimi nauliza bado Samia yupo ofisini?
Wengine Hawa hapa 👇Kama Philip Mpango bado yuko offisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.
Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.
Na sijaelewa Dotto alie kuwa Latibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Seseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.
Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Umesahau mama alikuwa makamu wa raisKama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.
Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.
Na sijaelewa Dotto aliekuwa katibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Sseseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.
Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Kazi ya kutuibia?Akili au MatopeAcheni Watu wachape Kazi
Hayo ndio maneno yakuweka kwa katiba mpya.Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Mimi nauliza bado Samia yupo ofisini?
Hakuna TISS nchi hiiMkuu
Tupe usuli zaidi mkuu. Ilikuwaje mpaka akateuliwa VP wwkati CV inanukia ufisadi?
HaihusianiUzuri tundu lisu hawi raisi