Watekaji na wabambikiaji wa kesiHakuna TISS nchi hii
Sasa Mpango ajiuzuru vipi bila Samia naye kujiuzuru?Hao yote dugu moya!Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears...
Kazi za wizi siyo?Acheni Watu wachape Kazi
Ww ndio kiazi kabisa.Unaleta siasa za uchadema na uact za kudeal na watu badala ya kudeal na team work.Kama Kuna matatizo wote ndani ya ofisi wanaeajibika.Sio kuchagua watu.Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na hadharani anakuja na kilio cha Crocodile tears.
Philip Mpango akiwa Waziri wa Fedha ana husika moja kwa moja na ufisadi wa TRC, sasa kama ataendelea kuwepo offisini ni bora mjadala ufungwe huu tutafute kazi zingine za kufanya.
Na sijaelewa Dotto aliekuwa katibu mkuu Wizara ya fedha anaweza vipi kuendelea kula mishahara wakati ana pesa kuliko alizo kuwa nazo Mobutu Sseseko au Mejor General San Abacha wa Nigeria.
Hawa wanapaswa kuwa wako ndani na ikibidi wanyongwe.
Utalipa kodi vipi na kampuni hunaNikilipa kodi mniite mbwa,labda zile za juu kwa juu
Bora ya mpagani kuliko mwana siasa wanaroho mbaya sana hawaHadithi za abunuwas hizi[emoji1787][emoji1787] mpango akifanya usemayo Basi atakuwa Mkatoliki kwerikweri[emoji1787]Tena mfia dini [emoji1787][emoji1787]
Magu yeye akuwa mwizi?kuwa na akili kilicho muweka samia ikulu ni katiba sio Kikwete itamchukia buleAcha kuhamisha magoli. Tunafahamu mafisadi wanaolindwa ni fisadi la msoga na vibaraka wake kina january upara, napi, yule msomali, migulu machemba pamoja na huyo bibi yenu mliemweka hapo kama kivuli cha rais
Hata we ukiwekwa hapo ungekuwa kama wao tu acha kujifanya una uchungu na hizo pesa.
kikwete katokea wapi tenaMagu yeye akuwa mwizi?kuwa na akili kilicho muweka samia ikulu ni katiba sio Kikwete itamchukia bule
Ina husiana vipi na poat yangu? Uchafu wa offisina report ya CAG zina uhusiano? Kichwani kwako kuna mavuzi au Ubongo?Bwashee, hivi huyu jamaa ameshasimamia usafishaji wa ofisi ya makao makuu tangu ile skendo ya uchafu wa kutisha ilipoibuliwa na kukichafua chama? Nauliza swali kwa nia njema tu!
Duh tumefika hukuPesa za serikali si zako ukipata nafasi butua.
Kwani wewe kichwani kwako kuna nini, mapwiti au mandenga?Ina husiana vipi na poat yangu? Uchafu wa offisina report ya CAG zina uhusiano? Kichwani kwako kuna mavuzi au Ubongo?