BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Tofautisha wachezaji wa zamani na wa sasa, hakuna hata mmoja aliyemfikia Messi...si maradona wala pele....nasema hivi hakuna hata mmoja wa kumlinganisha na huyu mfalme. Ni wa kipekee....Hayo ni mahaba yako tu kwa huyo dogo maana hata mke wa Dr. Remmy Ongala aliamini mumewe ndiye handsome kuliko wanaume duniani.
Ni kwako tu, kwa wengine wanamtambua ndiye mchezaji bora kuwahi kutokea katika soka...wakina Diego,alfredo de stefano,pele,puskas,eusebio,zidane,cr7,batistuta,de lima,requelme and gaucho..wote hawa wamepita but wataendelea kuwa chini kwa huyu kiumbe Messi....tena msirudie kumcompare na vitu vya kijinga mkuu.Mchezaji bora wa club ile ile moja tu,kwa kigezo hicho mimi kwangu ubora wake ni hadi akafanye mambo kwingineko mbali na alipokulia,hoja hii mashabiki wake huyu nesi huwa mishipa ya shingo inawatoka sana kumtetea ila kiukweli kwangu mm hata afanyeje bila kutoka kwangu sioni ubora wake,ova
Wewe Benson nlishakuambia usimfananishe King Messi na vitu vya kijinga...mtake radhi aise.Sema nyumbani kwenu,Duniani Ni Cr7 tu
Ni kwako tu, kwa wengine wanamtambua ndiye mchezaji bora kuwahi kutokea katika soka...wakina Diego,alfredo de stefano,pele,puskas,eusebio,zidane,cr7,batistuta,de lima,requelme and gaucho..wote hawa wamepita but wataendelea kuwa chini kwa huyu kiumbe Messi....tena msirudie kumcompare na vitu vya kijinga mkuu.
Sawa mkuuNi kweli,hayo ni mawazo yng na hata hao uliowataja ni mawazo yao pia,na wao sio Mungu,mawazo yng yatabakia pale pale mkuu
Tatizo autoi fact za mimi ili nimkubali Messi ,but Mimi nakupa fact za king Cr7 na umeanza kumkubali.Wewe Benson nlishakuambia usimfananishe King Messi na vitu vya kijinga...mtake radhi aise.
Toa fact tuzioneTatizo autoi fact za mimi ili nimkubali Messi ,but Mimi nakupa fact za king Cr7 na umeanza kumkubali.
Subiri aje awashangazeewakati mwenzake ana Goli 5 yeye ana Red Card!
Lini? Umri wenyewe umemtupaSubiri aje awashangazee
Aaaaaaaaah unayumba uwaga ma black panther awabishiToa fact tuzione
[emoji23][emoji23][emoji23]Aaaaaaaaah unayumba uwaga ma black panther awabishi
Kwa aliyebahatika kutazama game ya barca na Spurs atakuwa shahidi,
Sijui ni vipi fifa wanapanga vigezo kumpata mchezaji bora
Nimemuangalia Luka Modric Ktk game mbili ambazo zote Real Madrid kupoteza nimeshindwa kabisa pata jawabu. Hivi kweli mchezaji bora hata. Mwezi haujatimia tangu atangazwe kuwa ni bora eti anatolewa dakika ya 70 na Timu ipo nyuma kwa magoli?
Juzi kwenye Uefa Modric anaanzia sub?
Kweli huyu Modric alibebwa na Timu lakini yeye kama yeye.. Mh hapana
Bado La Pulga atawaburuza saana View attachment 886023View attachment 886024
Messi ni mchezaji wa kipekee kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka....walipita wakina Diego, Pele, Stefano, Puskas, Zidane, Requelme, Redondo, Zidane, Gaucho, Batistuta na De lima...but mfalme ni mmoja tu ulimwenguni na itachukuwa karne nyingi mno kumpata mbadala wake au asipatikane kabisa...KING MESSI/LA PULGALionel Andreus Messi is ever exceptional player under the sun
Wacha unyanyapaa wewe, tukana unavyotaka lakini sio kupitia keLa Pulga baba lao..
Goli tano tayari, hapo Christina atakuwa anaumia roho kinyamaaaaaaaaaa
Team Christina mpooo?
Mesi ni mzuri kwenye klabu bora kama ya Barca kwa sababu kazungukwa na rundo la wachezaji bora kama akina Rakitic, Busquets. Atoke pale acheze timu ya Taifa au akacheze na timu ya kawaida uone atakavyokuwa wa kawaida tuMessi ni mchezaji wa kipekee kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka....walipita wakina Diego, Pele, Stefano, Puskas, Zidane, Requelme, Redondo, Zidane, Gaucho, Batistuta na De lima...but mfalme ni mmoja tu ulimwenguni na itachukuwa karne nyingi mno kumpata mbadala wake au asipatikane kabisa...KING MESSI/LA PULGA
Mnaozungumza kuhusu kuhama timu, huwa siwaelewi hata kidogo...Messi kakutana na ligi mnayodai ni ngumu duniani premier ligi na kawaburuza kama kawa...Arsenal kambamiza, Man U kambamiza, Chelsea kambamiza, Man city kambamiza, Tottenham kambamiza..sasa unataka akutane na timu gani zingine ambazo ni ngumu zaidi ya hizo?? PSG nao kawapiga, Bayern kawapiga n.k....huwa hamkosagi vimaneno dah!Mesi ni mzuri kwenye klabu bora kama ya Barca kwa sababu kazungukwa na rundo la wachezaji bora kama akina Rakitic, Busquets. Atoke pale acheze timu ya Taifa au akacheze na timu ya kawaida uone atakavyokuwa wa kawaida tu
Haya maelezo hata mtoto wa darasa la 2 atakucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mesi ni mzuri kwenye klabu bora kama ya Barca kwa sababu kazungukwa na rundo la wachezaji bora kama akina Rakitic, Busquets. Atoke pale acheze timu ya Taifa au akacheze na timu ya kawaida uone atakavyokuwa wa kawaida tu