Bado Messi Anasimama Kuwa Mchezaji Bora Zaidi Duniani Kwa Sasa

Bado Messi Anasimama Kuwa Mchezaji Bora Zaidi Duniani Kwa Sasa

Haya maelezo hata mtoto wa darasa la 2 atakucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka mahaba pembeni halafu uje na data. Kwa data zipi Mesi anakuwa mchezaji bora wa nyakati zote. Ingekuwa haya ni mambo ya dini wewe ungeingizwa kwenye kundi la watu wanaokufuru
 
Kwa wasiomfahamu huyu Busquets inakadiriwa kuwa ndie kiungo bora duniani kwa sasa na ndie anayemchezesha Messi na forward wengine waonekane wazuri. Nakubali Mesi ni mzuri kuliko Ronaldo kwenye kukaa na mpira na kuassist wenzake. Anaweza kutafuta mipira na kuchen ga lakini akifika golini, CR7 nio bora zaidi ya Messi
Hao akina Pele na Maradona walikuwa wazuri kuliko mesi katikati ya uwanja na golini na ndio inayowapa kuwa wachezaji wazuri wa nyakati zote kwenye na 1 and 2
 
Kwa wasiomfahamu huyu Busquets inakadiriwa kuwa ndie kiungo bora duniani kwa sasa na ndie anayemchezesha Messi na forward wengine waonekane wazuri. Nakubali Mesi ni mzuri kuliko Ronaldo kwenye kukaa na mpira na kuassist wenzake. Anaweza kutafuta mipira na kuchen ga lakini akifika golini, CR7 nio bora zaidi ya Messi
Hao akina Pele na Maradona walikuwa wazuri kuliko mesi katikati ya uwanja na golini na ndio inayowapa kuwa wachezaji wazuri wa nyakati zote kwenye na 1 and 2
Messi hayupo vizuri golini??

Upo serious mkuu??
 
Messi ni mchezaji wa kipekee kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka....walipita wakina Diego, Pele, Stefano, Puskas, Zidane, Requelme, Redondo, Zidane, Gaucho, Batistuta na De lima...but mfalme ni mmoja tu ulimwenguni na itachukuwa karne nyingi mno kumpata mbadala wake au asipatikane kabisa...KING MESSI/LA PULGA
NO THE ONLY KING OFF ALL THE TIME UNDER THE SUN IS CRISTIANO RONALDO MNYAMA/Cr7
 
Mnamzungumzia tu mess jaman mbina hata hapa kwetu tunao angekua mess ndio kafunga goli kama lile la ajibu ungeona jinsi watu wanavyo mpuliza utaskia akrobatik sijui nini
 
Kwa wasiomfahamu huyu Busquets inakadiriwa kuwa ndie kiungo bora duniani kwa sasa na ndie anayemchezesha Messi na forward wengine waonekane wazuri. Nakubali Mesi ni mzuri kuliko Ronaldo kwenye kukaa na mpira na kuassist wenzake. Anaweza kutafuta mipira na kuchen ga lakini akifika golini, CR7 nio bora zaidi ya Messi
Hao akina Pele na Maradona walikuwa wazuri kuliko mesi katikati ya uwanja na golini na ndio inayowapa kuwa wachezaji wazuri wa nyakati zote kwenye na 1 and 2
Umevuka mpaka aise [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnamzungumzia tu mess jaman mbina hata hapa kwetu tunao angekua mess ndio kafunga goli kama lile la ajibu ungeona jinsi watu wanavyo mpuliza utaskia akrobatik sijui nini
Magoli ya Messi siku zote mazuri na yameenda shule....
 
Tatizo autoi fact za mimi ili nimkubali Messi ,but Mimi nakupa fact za king Cr7 na umeanza kumkubali.
CR7 kacheza ligi mbili kubwa za ulaya na kuwa mfungaji bora, tunategemea pia huko Serie A ataibuka mfungaji bora. Ronaldo kafanya vizuri na timu yake ya Taifa kwa kubeba kombe la ulaya 2016. Tusubiri na umri utuambie, CR7 anaweza kucheza mpaka 40+. Mesis kashachoka hata ndevu kukata hawezi tena, ataishia 33 or 34 kuweza kuchezea timu kubwa za Ulaya.
Messi ni mchezaji pekee nyota wa dunia kucheza ligi moja, timu moja tangu soka lianzishwe duniani. Ajabu sana
 
CR7 kacheza ligi mbili kubwa za ulaya na kuwa mfungaji bora, tunategemea pia huko Serie A ataibuka mfungaji bora. Ronaldo kafanya vizuri na timu yake ya Taifa kwa kubeba kombe la ulaya 2016. Tusubiri na umri utuambie, CR7 anaweza kucheza mpaka 40+. Mesis kashachoka hata ndevu kukata hawezi tena, ataishia 33 or 34 kuweza kuchezea timu kubwa za Ulaya.
Messi ni mchezaji pekee nyota wa dunia kucheza ligi moja, timu moja tangu soka lianzishwe duniani. Ajabu sana
Mkuu unamfahamu Paolo Maldini aliyechezea AC Milan, Ryan Giggs wa Man Utd au unaongea usichokijua?
 
Back
Top Bottom