Bado mnamwita Wakili msomi?

Bado mnamwita Wakili msomi?

Akili za kitoto hiz, mtu akibadili dini anabaki na jina linabadilishwa
 
Naomba kuwauliza makolo, hivi lile jina pendwa la 'wakili msomi' mlilompatia BM bado mnaendelea kulienzi?
Unajua utopolo wapumbavu sana ndio maana mnaokota okota wachezaji tuliowatema 😀😀😀 kuna yule beki nghana tukimtema mkamchukua Morrison tulimyakuwa kwenu akiwa hot tumeamtumia tumemtema mnamchukua . Yaani mnajaribu kweli kuwa kama sisi lol
 
Usajiri wetu umeegemea sana kwenye kufurahisha mashabiki... Viongozi wamekaa kienyeji sana Sio Simba au yanga upumbavu tu..
 
Back
Top Bottom