MWAMZUNGUMZIA NANIJina limekuwa mwiba kwao hahaha hawana hamu nae....kweli mhuni sio mtu
Morrison au kuna wakili msomi zaidi ya uyo?MWAMZUNGUMZIA NANI
Na uto wanamvizia wamsajili.Freaks,huh?Jina limekuwa mwiba kwao hahaha hawana hamu nae....kweli mhuni sio mtu
Unajua utopolo wapumbavu sana ndio maana mnaokota okota wachezaji tuliowatema πππ kuna yule beki nghana tukimtema mkamchukua Morrison tulimyakuwa kwenu akiwa hot tumeamtumia tumemtema mnamchukua . Yaani mnajaribu kweli kuwa kama sisi lolNaomba kuwauliza makolo, hivi lile jina pendwa la 'wakili msomi' mlilompatia BM bado mnaendelea kulienzi?
Kwani alianza kuichezea timu gani hapa Tz?Na uto wanamvizia wamsajili.Freaks,huh?
Utopwise na akawa-dump!Kwani alianza kuichezea timu gani hapa Tz?
Mtoto kurudi kwao si mbayaUtopwise na akawa-dump!
Mlipieni "tozo" hakuna cha bure.Msijizungushe.Mtoto kurudi kwao si mbaya
Wakili msomiMlipieni "tozo" hakuna cha bure.Msijizungushe.
Amebakia kuwa "wakili-midevu" tu.πππWakili msomi
Bado atakuwepo kwenye ligi ya NBC na lazima awalaze na viatu na ndevu zake hizo hzioAmebakia kuwa "wakili-midevu" tu.πππ
Shauri yake. Asianze kulia njaa tu.Bado atakuwepo kwenye ligi ya NBC na lazima awalaze na viatu
Msimu huu ulishasikia kuna timu imelia njaa?Shauri yake.Asianze kulia njaa tu.
Muwashukuru Azam kampuni. Mlikuwa mnaletewa hadi mikate na maji msipige kelele.Msimu huu ulishasikia kuna timu imelia njaa?