Rocco sifredi
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 100
- 197
Wakuu nilileta ombi bado sijapata kazi ni mhitimu wa degree ya sheria natafuta kazi yoyote iliyoko ndani na nje ya taaluma hii pia.
Naweza kufanya mahakamani, kwenye law firm mbalimbali, etc iwe internship au vyovyote na mahali popote Tanzania.
Kwa yoyote atayeguswa hata kwa connection ntashukuru.
Kuwa jobless siyo kazi nyepesi Wakuu.
Prosperity96
Bandar Abbas
Naweza kufanya mahakamani, kwenye law firm mbalimbali, etc iwe internship au vyovyote na mahali popote Tanzania.
Kwa yoyote atayeguswa hata kwa connection ntashukuru.
Kuwa jobless siyo kazi nyepesi Wakuu.
Prosperity96
Bandar Abbas