Bado natafuta kazi, mimi ni Mhitimu wa Sheria

Bado natafuta kazi, mimi ni Mhitimu wa Sheria

Mi nna mwaka wa Saba huu, sielewi mbivu na mbichi!! Kikubwa tusikate tamaa tuu!! Mi nipo field nyingne lakn..

Japo kwa Sheria inawezekana ukawa karibu karibu na mahakama! Usikae Mbali Mbali na mahakama inawezekana ukawa unajipatia japo Senti za nauli na kula
Kazi kweli kweli tupambane mkuu pole
 
Back
Top Bottom