Bado natafuta kazi, mimi ni Mhitimu wa Sheria

Bado natafuta kazi, mimi ni Mhitimu wa Sheria

Muwe mnaangalia na majina mnayojipa pengine ndio mwanzo wa nuksi na mazonge,eti "Rocco Sifredi" yaani wewe ni mtu muhimu ila unajipa majina ya wacheza ngono tena wazibua mitaro,hata ukiipata hiyo kazi wateja wako watakuwa salama kweli!!?? Kifupi wewe ni mwanasheria uliyeathirika na picha za ngono hivyo hata kama tuna firm zetu tunaogopa kukupa kazi maana majina yanaumba
 
Muwe mnaangalia na majina mnayojipa pengine ndio mwanzo wa nuksi na mazonge,eti "Rocco Sifredi" yaani wewe ni mtu muhimu ila unajipa majina ya wacheza ngono tena wazibua mitaro,hata ukiipata hiyo kazi wateja wako watakuwa salama kweli!!?? Kifupi wewe ni mwanasheria uliyeathirika na picha za ngono hivyo hata kama tuna firm zetu tunaogopa kukupa kazi maana majina yanaumba
Uko sahihi mkuu Ila binafsi JF nimeifahamu kupitia mtu naye ndo alinielekeza namna ya kuijiunga na hata nickname sikuwahi jua kama ni ya mcheza porn tofauti na Jon Siny

Hata hivyo ingekua vizuri kumjaji mtu kwa value ile anayodeliver na si jinsi alivyo hata ww una privacy life ambayo hutaki mtu yoyote aijue.


JAPO NASHUKURU KWA USHAURI
 
Mi nna mwaka wa Saba huu, sielewi mbivu na mbichi!! Kikubwa tusikate tamaa tuu!! Mi nipo field nyingne lakn..

Japo kwa Sheria inawezekana ukawa karibu karibu na mahakama! Usikae Mbali Mbali na mahakama inawezekana ukawa unajipatia japo Senti za nauli na kula
 
Unapatikana wapi?Kuna fursa ya kiuchumi ambayo ukiifanya serious ndan ya miez miwili au mitatu utakuwa mbali sana na utaweza kufungua ofsi Yako mwenyewe
 
Unapatikana wapi?Kuna fursa ya kiuchumi ambayo ukiifanya serious ndan ya miez miwili au mitatu utakuwa mbali sana na utaweza kufungua ofsi Yako mwenyewe
 
Wakuu nilileta ombi bado sijapata kazi ni mhitimu wa degree ya sheria natafuta kazi yoyote iliyoko ndani na nje ya taaluma hii pia.

Naweza kufanya mahakamani, kwenye law firm mbalimbali, etc iwe internship au vyovyote na mahali popote Tanzania.

Kwa yoyote atayeguswa hata kwa connection ntashukuru.

Kuwa jobless siyo kazi nyepesi Wakuu.

Prosperity96
Bandar Abbas
Tafuta ardhi ukalime. mwanangu
 
U

Unamfundisha kuwa kishoka .tuki mshika atajuta aende law school
Sio kishoka Sehemu kama CMA anaruhusiwa kumuwakilisha mtu Kwa mujibu wa sheria kabisaa sio lazima awe wakili ndo amuwakilishe mtu hapo CMA.
 
Back
Top Bottom