Bado natafuta mpenzi (awe Daktari, Nurse with Degree, Mwalimu au mtu wa Finance)

Bado natafuta mpenzi (awe Daktari, Nurse with Degree, Mwalimu au mtu wa Finance)

Hayaa weh!!! Okay you will get it soon because only if you want to get married I give you advise, no rules love is love and it is less , when you find your true love no education,nothing it's just you and for her only . Comes to mentioning I want that I want this life is to be free and live the way you want to live no complain
Sure thing , love doesn't ask way
 
Hayaa weh!!! Okay you will get it soon because only if you want to get married I give you advise, no rules love is love and it is less , when you find your true love no education,nothing it's just you and for her only . Comes to mentioning I want that I want this life is to be free and live the way you want to live no complain
Good comment, though[emoji1374]
 
... too much grammatical errors.
Though he tried his best to express himself. Uzuri wa lugha yoyote cha muhimu ni kuelewana!
Hebu weka cha kwako kisicho na grammar errors, Mrs Perfect[emoji28]
 
Mkuu,
Tafsir Kwa faida ya UMMA[emoji851][emoji851]
Huyo bwana anataka Mwanamke mwenye nia ya dhati ya kuingia kwenye mahusiano na mwenye heshima anayejua kinachofuata baada ya mahusiano.


Vigezo vya kitaaluma vya mwanamke anayemtaka;

1. Awe anaongea Kiingereza kilichonyooka.

2. Awe Nesi (mwenye elimu ya shahada ya kwanza) au

3. Awe Mhasibu. Au

4. Awe Mwalimu (Mwenye Shahada ya kwanza).


Vigezo vyake yeye binafsi;
Anao umri wa miaka 45.
-Mkiristo.
-Urefu wake Cm 175.
- Uzito wake kilo 73.
-ana rangi ya Kahawia.
-elimu yake chuo kikuu.


Vigezo vya jumla vya mwanamke anayemtaka;

-asipungue umri wa miaka 26 ya kuzaliwa.
-Dini (Mkiristo/Muislamu).

-Awe na elimu ya Shahada ya awali au stashahada katika fani alizozitaja.

-Awe anatoka katika nchi za; Tanzania, Rwanda, Somalia/Ethiopia, Burundi, Congo au Malawi.

-Kama ni single mother asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.

Mwisho,
Mwenye vigezo tajwa na mwenye uhitaji wa kweli amemualika PM.
 
Huyo bwana anataka Mwanamke mwenye nia ya dhati ya kuingia kwenye mahusiano na mwenye heshima anayejua kinachofuata baada ya mahusiano.


Vigezo vya kitaaluma vya mwanamke anayemtaka;

1. Awe anaongea Kiingereza kilichonyooka.

2. Awe Nesi (mwenye elimu ya shahada ya kwanza) au

3. Awe Mhasibu. Au

4. Awe Mwalimu (Mwenye Shahada ya kwanza).


Vigezo vyake yeye binafsi;
Anao umri wa miaka 45.
-Mkiristo.
-Urefu wake Cm 175.
- Uzito wake kilo 73.
-ana rangi ya Kahawia.
-elimu yake chuo kikuu.


Vigezo vya jumla vya mwanamke anayemtaka;

-asizidi umri wa miaka 26 ya kuzaliwa.
-Dini (Mkiristo/Muislamu).

-Awe na elimu ya Shahada ya awali au stashahada katika fani alizozitaja.

-Awe anatoka katika nchi za; Tanzania, Rwanda, Somalia/Ethiopia, Burundi, Congo au Malawi.

-Kama ni single mother asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.

Mwisho,
Mwenye vigezo tajwa na mwenye uhitaji wa kweli amemualika PM.
Asante sana mkuu tumelisaidia taifa🤓

Wasalaam
Kwa Sasa +267
 
Huyo bwana anataka Mwanamke mwenye nia ya dhati ya kuingia kwenye mahusiano na mwenye heshima anayejua kinachofuata baada ya mahusiano.


Vigezo vya kitaaluma vya mwanamke anayemtaka;

1. Awe anaongea Kiingereza kilichonyooka.

2. Awe Nesi (mwenye elimu ya shahada ya kwanza) au

3. Awe Mhasibu. Au

4. Awe Mwalimu (Mwenye Shahada ya kwanza).


Vigezo vyake yeye binafsi;
Anao umri wa miaka 45.
-Mkiristo.
-Urefu wake Cm 175.
- Uzito wake kilo 73.
-ana rangi ya Kahawia.
-elimu yake chuo kikuu.


Vigezo vya jumla vya mwanamke anayemtaka;

-asipungue umri wa miaka 26 ya kuzaliwa.
-Dini (Mkiristo/Muislamu).

-Awe na elimu ya Shahada ya awali au stashahada katika fani alizozitaja.

-Awe anatoka katika nchi za; Tanzania, Rwanda, Somalia/Ethiopia, Burundi, Congo au Malawi.

-Kama ni single mother asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.

Mwisho,
Mwenye vigezo tajwa na mwenye uhitaji wa kweli amemualika PM.
[emoji1374][emoji1374]
 
Dah! Una masharti mengi kweli kama ya mganga halafu kama uliwasomesha wewe. Cha kufanya tafuta mtu umsomeshe apate hivyo vigezo then uje umuoe.

Hautaki wasioelewa kingereza wasije wakati kichwa cha habari kipo kwa kiswahili?
 
Wanajamvi, narudi kwenu!

Guys, I have been specific and decided not write in Swahili, to get the right person. I guess by this, only interested parties will come to my PM. You don't meet the qualities, but understand what I am writing, you are highly welcome to my PM.

I need a SERIOUS respectful woman, who knows what she is after in a relationship. She should understand English fluently.

  • She may be a DOCTOR (human doctor, i.e.)
  • NURSE with a degree
  • FINANCE person
  • TEACHER with degree

I am
  • Man 45 yrs
  • Christian
  • 175 cm tall
  • 73kg weight
  • Chocolate color
  • Education...University

Looking for a LADY:
  • Not less than 26 yrs.
  • Christian/Muslim.
  • Education (degree/diploma) in the mentioned fields
  • Strictly from Tz, Rwanda, Somalia/Ethiopia, Burundi, Congo or Malawi.
  • If kidded, should be 1 only

Not interested in anybody's opinion, because the choice is mine, till I get what I want.

Kindly, do not come to my PM if you ain't the target. If you feel there is something special about you, that I should have considered, that might end up matching you and I, come to my PM.

I only welcome really NEEDY ladies, not players, casuals...ooh, NO!

Thank you[emoji1374]
At 45 bado hujaoa? Au unatafuta wa kukupa joto kwenye uzee wako😂😂😂
 
Back
Top Bottom