Bado pengo la Magufuli halijazibwa

Bado pengo la Magufuli halijazibwa

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Japo bado hujanishawishi kuwa unaweza kuziba pengo la JPM lakini sina budi kukujulisha hili toka kwa mtu unayemwamini sana.

Anasema kuwa nanukuu "bi mkubwa sio mnoko, ukimpamba tu mambo yako yanaenda".

Alikuwa akizungumzia sakata la Kigwangala kumtembezea mtu risasi anasema jambo hili litaisha kama la Ditopile maana huna meno.

Kumbe walikuwa wanamponda JPM kwakuwa alikuwa na meno, wewe unadharaulika kuwa huna meno.

Aliyesema amefikia kwenye hoteli ya nyuma ya Bunge, angalia waliofikia pale, halafu chuja yule unaye mwamini zaidi, fuatilia mazungumzo yake utachoka.

Kweli siasa za Africa ni unafiki.
 
Japo bado hujanishawishi kuwa unaweza kuziba pengo la JPM lakini sina budi kukujulisha hili toka kwa mtu unayemwamini sana.

Anasema kuwa nanukuu "bi mkubwa sio mnoko, ukimpamba tu mambo yako yanaenda".

Alikuwa akizungumzia sakata la Kigwangala kumtembezea mtu risasi anasema jambo hili litaisha kama la Ditopile maana huna meno.

Kumbe walikuwa wanamponda JPM kwakuwa alikuwa na meno, wewe unadharaulika kuwa huna meno.

Aliyesema amefikia kwenye hoteli ya nyuma ya Bunge, angalia waliofikia pale, halafu chuja yule unaye mwamini zaidi, fuatilia mazungumzo yake utachoka.

Kweli siasa za Africa ni unafiki.
 

Attachments

  • E6E1A8F8-BA09-491D-9F37-E24CB4515032.jpeg
    E6E1A8F8-BA09-491D-9F37-E24CB4515032.jpeg
    67.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom