Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Akili yako ina Shaka katika kufikiria Jambo hiliUbora wa rais hautokani na kupandisha mishahara, ni bora mishahara iwe ya kawaida lakini mfumuko wa bei udhibitiwe. Angepewa muda wa kutosha nchi hii ingeenda mbali sana.
mpandisha mishahara unaumwa ugonjwa ganiAkili yako ina Shaka katika kufikiria Jambo hili
Magufuli alikuwa best president kivip? Hebu tiaminishe alifanya nini?Watanzania wenye mtindio wa ubongo na wavutabange walijitahidi kumponda JPM lakini he was the best.
Mavi ukiyaweka kwenye sahani ya gharama kubwa hayatakuwa pilau ng'ooooooooooooooooooooooooooWatamwelewa sana.
Walianza na kauli ya kwamba mama anaupiga mwingi. Sasa wamepoteana.
Ukweli ni ukweli. Bahati mbaya sana TZ tumezoea kudanganywa danganywa. Ukinyoosha kama alivyofanya mzee wetu, RIP, watu wanashangaa.
Mag ndio mwanzilishi wahaya matatizo kwann hakupanfisha wakati wake!????Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.
Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.
Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.
Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
Uko sahihiMag ndio mwanzilishi wahaya matatizo kwann hakupanfisha wakati wake!????
Umeona dalili gani?mpandisha mishahara unaumwa ugonjwa gani
sory mkuu nilikuwa namjibu yule mwamba uliemtag kimakosa nika kutag wewe mkuu samahaniUmeona dalili gani?
Hakuwahi ahidi. Mwaka jana tuliahidiwa...Mag ndio mwanzilishi wahaya matatizo kwann hakupanfisha wakati wake!????
Mavi yanakaa chooni. Kuna sehemu wanakula?Mavi ukiyaweka kwenye sahani ya gharama kubwa hayatakuwa pilau ng'oooooooooooooooooooooooooo
We uemkula maharage ya wapi? Kwa hiyo Magufuli huku aliko ndio kamshauri huyu mama Royotuwa asipandishe mshahara? Idiot!Acheni kumpamba uyo maguli yeye ndo kasababisha aya
Magu hakuwahi kuahidi!??Hakuwahi ahidi. Mwaka jana tuliahidiwa...
liahidi akasema nitaongeza kweri KweriHakuwahi ahidi. Mwaka jana tuliahidiwa...
Hawapendi kusikia kwa sababu alishatimiza ngwe yake hapa duniani na kaondoka kawaacha ninyi. Sasa nyie mliobaki mko milioni 60 lakini maajabu unaendelea kulalamika na kumkumbuka mtu na kufanya reference ili hali hawezi tena kurudi duniani. Ni wajibu wenu sasa mliobaki kupasua kichwa kuondokana na changamoto zinazowakabili kwa sababu nyie mnao huo uwezo wakati marehemu hana huo uwezo. Mimi pia huwa nawashangaa sana kila shida kidogo eti angekuwepo fulani, shida kidogo fulani angekuwepo ebooo!!! Nyie mnatimiza wajibu wenu???Mzee, watu hawapendi kabisa kusikia RIP magufuli....usishangae ukatukanwa hapa japo umeongea kitu cha msingi.
Au nasema uongo ndugu zanguuuuuuuuNi bora huyu ambaye amepandisha vyeo/madaraja baadhi ya watumishi na kuwarekebishia mishahara yao na kisha kutoa ajira mpya. Kasema "lile jambo lipoo".
Mama atosha
CCM tafuteni Mgombea mwingine
Hata kwa mengine he was poor hakuna kituHe was the best kwenye mengine ila kwa wafanyakazi he was just a badluck